Elections 2010 Wana jf, mtikila yupo wapi?

Mpiganaji tz

Member
Jul 22, 2010
21
0
Nashindwa kuamini kama mch. Myikila yupo nchini kwasasa! Tangia uchaguzi hadi kuapishwa na sasa bunge kuanza mtikila asisikike kwa lolote?
 

MONTESQUIEU

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
847
80
Anaandaa katiba mpya ya tanzania, itakayo ruhusu mgombea binafi nk. Atamkabidhisha anne hivi karibuni ili waijadili bungeni
 

Ehud

JF-Expert Member
Feb 12, 2008
2,685
335
Kesha lamba fungu lake kubwa na kutosha toka kwa mkuu wa kaya anakula taratibu...kasema hataki tena kelele hadi ziishe
 

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,729
Nashindwa kuamini kama mch. Myikila yupo nchini kwasasa! Tangia uchaguzi hadi kuapishwa na sasa bunge kuanza mtikila asisikike kwa lolote?
Naamini uliimanisha Mch. Mtikila, huyu mzee tangu Rostam atange kuwa alimpa mshiko kipindi furani amekuwa mpole sana...
 

Zak Malang

JF-Expert Member
Dec 30, 2008
5,404
229
Juzi alitoa kauli iliyonifurahisha kweli kweili: Aliwaponda viongozi wa kidini (Wakristu) waliokwenda kwa Dr Slaa kumbembeleza akubali matokeo. Mtikila aliwaita hao watu wa dini ni manafiki wakubwa kwani alihoji -- kwa nini pia hawakwenda kwa JK kumwambia "Lakini nawe -- kwa nini Tume yako (NEC) iliiba sana kura?
 

The Dreamer

JF-Expert Member
Feb 2, 2009
1,282
20
Usijali mtikila akipanda jukwaani utamkubali. I miss him. Kwangu mimi he is the most patriotic politician!
 

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
Nashindwa kuamini kama mch. Myikila yupo nchini kwasasa! Tangia uchaguzi hadi kuapishwa na sasa bunge kuanza mtikila asisikike kwa lolote?

Hivi juzi alipowashutumu viongozi wa kidini kuwa ni wanafiki alikuwa wapi vile????
 

Kiherehere

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
1,807
621
yeye anadili na katiba tu, so nafikiri atakuwa najaribu kuisoma kwa undani ili aweze kuibuka na mapungufu mengine. Hana recodi ya kumshitaki mtu, ila kuishitaki serikali tuuuuuuuu.
 

Mungi

JF Gold Member
Sep 23, 2010
16,980
9,558
yeye anadili na katiba tu, so nafikiri atakuwa najaribu kuisoma kwa undani ili aweze kuibuka na mapungufu mengine. Hana recodi ya kumshitaki mtu, ila kuishitaki serikali tuuuuuuuu.


teh teh teh teh!!!!!!!!!!!!!!!
 

mundo

JF-Expert Member
Aug 9, 2010
200
9
alinifurahisha aliposema kuwa, kwa nini wanamfuata Dk peke yake wakati wananchi ndo wamedhulumiwa kura zao sio Dk, kwani Dk kura yake ni moja tu yake mwenyewe!
 

Ndachuwa

JF-Expert Member
Mar 8, 2006
6,271
4,544
Mbona huniulizii mimi au wewe mbaguzi? Hujamsikia kwa kuwa hajatokea kwenye vyombo vya habari.
 
0 Reactions
Reply
Top Bottom