life is Short
JF-Expert Member
- Apr 1, 2013
- 4,741
- 3,037
Hata mie sikubaliani nalo bwana wengine hapa ukituona unaweza baki unachekaa mwaka mzimaa
Wa diaspora nasi wapi tukutaneee?
tukutane 'mpenzispora'
Great MoneyST' always first to voluntia !! .. kind thanxmkiwa tayari mnishtue au wale ambao wako tayari mnishtue mimi niko tayari na nina uzoefu mkubwa wa kuandaa Bash.
sehemu yoyote mkiwa tayari mnishtue niko tayari kusafiri sehemu yoyote ile tufahamiane na kuonana live.
Bash italindwa na makomandoo nitagharamia
ha ha ha umenifumua mbavu kwa hiyo ni ndugu na wassira nini.LOLHata mie sikubaliani nalo bwana wengine hapa ukituona unaweza baki unachekaa mwaka mzimaa
Bantu lady tafadhali nihakikishie hauko serious,how funny of you!
you just made my day,thanks!
Hata mie sikubaliani nalo bwana wengine hapa ukituona unaweza baki unachekaa mwaka mzimaa
chit chat wana hyo program
Hii kali unafananaje mpk mwanadamu mwenzio acheke mwaka mzima kwa kukuona tu?
Wengine tupo hivi sasa ukifika hapo utabaki mwenyewe