SaaMbovu
JF-Expert Member
- Oct 8, 2013
- 6,028
- 5,355
Mamaa yangu unafanana na King kong yaan umemzidi hata Waasiraa wallah
Hahahaaa jaman wamuonea Waasiraa mbona handsome sana yule.
Mamaa yangu unafanana na King kong yaan umemzidi hata Waasiraa wallah
Sindiyo tupo kumaandalizi... Lovespora ikiiva tutapakua tuwalishe !! happy days.tukutane 'mpenzispora'
Wapendwa uzuri sii kuface au shepu !! uzuri ni moyoni, rohoni undani... siye tutakubaliana tu!!Wengine tupo hivi sasa ukifika hapo utabaki mwenyewe
Wapendwa uzuri sii kuface au shepu !! uzuri ni moyoni, rohoni undani... siye tutakubaliana tu!!
Bila shaka !! Mie ndo ntamtafuta kwanza... niwe sidebyside !! nimechoka na wajanja!!Umemuona saa mbovu sijui ana genes za godzila mwee
Bila shaka !! Mie ndo ntamtafuta kwanza... niwe sidebyside !! nimechoka na wajanja!!
Kumbe mwenzangu unafasiri kauli? al-hamdulillah nimefarijika kupata mtaalamu maana nina mambo mengi yananisumbua!!!Kivipi umechoka na wajanjaa hebu tengua kauli kauli yako maana nimekutafsri vibayaaa
Kuna kausemi " Adui wa jana ni rafiki wa leo "Wazo zuri. Hata hivyo wale wenye mitazamo tofauti ya kivyama na udini haitatokea pata shika ya kushikana mashati!
exactly,thanks again!Am serious, ila nimefurahi kwamba nimekufurahisha. Umeongeza na siku za kuishi. Karibu.