Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,423
Kuna watu wanaleta jokes kwenye hizi ishu hebu tuwe makini I think something is going onAlianza Tatty kuaga kwa style hii hii ya sintofahama na yeye akionyesha yaliyomkuta huku JF ni mazito na inabidi akimbie sasa hiv ni huyu Bushland naye akiaga kwa style ile ile hasemi nini kimemkuta ni anakimbia kimbia tu...Nini kinawakuta hawa watu tena inaonekana maswahiba hayo yanawatokea kwa siri..