Katumia masaburi kufikiri. majini hayo yameshindwa kwa jina la Bwana Yesu.Umu ndani tunaweza kua tuna member majini aseee maana mtu anakurupuka tu mpaka unajiuliza katumia nini kufikiri.
Katumia masaburi kufikiri. majini hayo yameshindwa kwa jina la Bwana Yesu.Umu ndani tunaweza kua tuna member majini aseee maana mtu anakurupuka tu mpaka unajiuliza katumia nini kufikiri.
Ustaa JF?Haina tofauti na ya yule sijui taty
Wanatakaga ustaa tu hamna lolote
Wewe ndo hauna mantiki, think twice.Post/thread za kipuuzi kama hizi nii zakufutwa kabisa.haina mantiki yeyote.
Utoto+ujinga=rameaWewe ndo hauna mantiki, think twice.
Acha dhambiUtoto+ujinga=ramea[/QUOTEhambi
Hivi tatty nae ameenda wap mkuu?Alianza Tatty kuaga kwa style hii hii ya sintofahama na yeye akionyesha yaliyomkuta huku JF ni mazito na inabidi akimbie sasa hiv ni huyu Bushland naye akiaga kwa style ile ile hasemi nini kimemkuta ni anakimbia kimbia tu...Nini kinawakuta hawa watu tena inaonekana maswahiba hayo yanawatokea kwa siri..
Anahamia Nibiru!unaenda wapi nikupe sapoti
Unamaanisha umeuza smart phone hivyo hutaweza kuingia Jf mpaka mwakani?Jaman wana jf wenzangu, Leo nipo katika kiza kizito Sana, yaliyonikuta Leo wala sikutegemea, lakini Namwachia Mungu, kweli hakuna ajuaye kesho,ntapotea kwa muda huku, kwaherini