kuna hali ya hatari imetangazwa.....kuwa kamba haziuzwi leo hadi kwa kibali cha kamanda wa kanda maalum, sasa sielewi ni kwa nini! Kimoja ninachokiona ni kuwa mji wa Dar es Salaam, uko kimyaa sana leo, huenda watu wengi tayari HATUNAO, ndo maana Tahadhalri zimeanza kuchukuliwa!!