Saidi Yakubu yupo Tanzania,aliacha kazi huko BBC - UK. Anafanyakazi ya Mkataba kwenye kitendo cha sheria kwenye Kamati ya Bunge la Commonwealth,wanaangalia Ufanyajikazi wa Mabunge ya Tanzania,kenya, Uganda na Bunge la Shirikisho la EA.Kwa Taaluma Yakubu ni mwanasheria/Mwandishi,nafahamu kuwa anaingia humu lakini kwa ajili ya conflict of interests anaweza kuwa ni mchunguliaji tu!!