Kumbee.....Aseeee!!!JF Arusha wing wengi tunajuana, tuna Umoja wetu ambao mara kwa mara tunakutana na kujadili mambo ya msingi! Nakushauri m-PM Pakajimmy au Mzee wa Rula atakupa utaratibu wa kukutanisha na members ambao wamo kwenye umoja huo!
Nipo mianzini naelekea town na kifodi.Wewe uko wapi?mim niko A-Town ila siwajui wana Jf waliopo hapa mjini maana wengi wao naona wanaishi Dar ndio nataka niwajue na tujuane.
Nawasilisha.
chalii mi niko huku engosengyu nakula vichwa kwa bodaboda vp ww uko pande za wapii kaloleni, soweto, mianzini, sakina, unga limited, wapi ndugu!!!!!!!