Wana JamiiForums tukishindwa kuwa na msimamo kwenye hili, Basi JF haina tija, tuachane nayo tu

Ukiangalia kwa karibu kabisa ule uso wakati anarekebisha kamera ni Gwajima kabisa hivyo sina shaka ni yeye mhusika.
Sema yaonekana huyo demu alimsotea sana kumpata hivyo akataka aweke kumbukumbu zake mwenyewe awe anakumbukia bahati mbaya akalala na demu mwingine akazifuma video, huyo demu kwa hasira akazirusha kwingine likasanuka hapo.
Nimeamini maneno ya Emmanuel Mbasha
Aisee, mbasha kwani kasemaje mkuu?
 
Kichwa ni chake ila Kiwiliwili sio chake.
Tatizo hakusema yule Mwanamke ni wa nani...!!

Naamini 100% ni wa Kichwa...
 
Inafikirisha sana mie nipo 50/50
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom