Nucky Thompson
JF-Expert Member
- Sep 20, 2016
- 1,817
- 4,058
- Thread starter
- #61
Aisee, mbasha kwani kasemaje mkuu?Ukiangalia kwa karibu kabisa ule uso wakati anarekebisha kamera ni Gwajima kabisa hivyo sina shaka ni yeye mhusika.
Sema yaonekana huyo demu alimsotea sana kumpata hivyo akataka aweke kumbukumbu zake mwenyewe awe anakumbukia bahati mbaya akalala na demu mwingine akazifuma video, huyo demu kwa hasira akazirusha kwingine likasanuka hapo.
Nimeamini maneno ya Emmanuel Mbasha