Wana Chit - Chat!!

Wana Chit - Chat!!

hahahaaa!!! na nani? yule bwana mdogo uran? babake yule bila mimi hawezi ishi dar.

pesa anayoacha mezani inatoka kwangu!

sasa nitibue uone! unarudi kwenu tarakeaaaaaa!!!

Hahahaaaaa,kwenda zako kule
 
Last edited by a moderator:
mamii huyu si mgeni wetu yule tulimtuma aende kijijini kufuata mbuzi wa maziwa na kondoo wa kuja kuchinja wakati wa pasaka halafu tukamwambia amwambie bibi na babu kuwa sisi watoto wao tu waziima na tulishapata kazi ya kuuza mbao kutoka kilosa morogor na sasa soko lake liko vizuri na tunasafirisha na nguo kutoka thailand kwa bei nafuu tunauza tandale, magomeni mbagala na magomeni kwa akina anii?

umesahau Rich Woman?


Alaah kumbe ndo huyu
Maana nimeshtuka huo ukarimu wako kwake
 
Last edited by a moderator:
aaaah! princess enny mwenyeweeeee!!!! mamii toka jana nikakwandalia wine ukadengua! hivi kwanini lakini? mbona excel ni mtu mzuri saana! ushafikiria mbaaaaali! karibu lakini eenh!
Excel mwenyeweeeee yan wine yangu ukaanza kunywa wew loooooohhhhhhh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom