Wana Chit - Chat!!

Wana Chit - Chat!!

Walahi nakuona uko kwenye kampeni....

mamii huyu si mgeni wetu yule tulimtuma aende kijijini kufuata mbuzi wa maziwa na kondoo wa kuja kuchinja wakati wa pasaka halafu tukamwambia amwambie bibi na babu kuwa sisi watoto wao tu waziima na tulishapata kazi ya kuuza mbao kutoka kilosa morogor na sasa soko lake liko vizuri na tunasafirisha na nguo kutoka thailand kwa bei nafuu tunauza tandale, magomeni mbagala na magomeni kwa akina anii?

umesahau Rich Woman?
 
Last edited by a moderator:

etii! unamjua Tonykp?

huyu jamaa bana namdai mamilini yangu ya madini!

wallahi naapa kwa sauti ya radiiii!!! nikimkamataaa!!! arusha inabadilishwa na kuwa MUSOMA kwa lazima!
 
Last edited by a moderator:
mamii huyu si mgeni wetu yule tulimtuma aende kijijini kufuata mbuzi wa maziwa na kondoo wa kuja kuchinja wakati wa pasaka halafu tukamwambia amwambie bibi na babu kuwa sisi watoto wao tu waziima na tulishapata kazi ya kuuza mbao kutoka kilosa morogor na sasa soko lake liko vizuri na tunasafirisha na nguo kutoka thailand kwa bei nafuu tunauza tandale, magomeni mbagala na magomeni kwa akina anii?

umesahau Rich Woman?

Heeeeeeeer teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom