Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
Last edited by a moderator:
Fanya maandalizi ya kutosha urudi salama, hawa wajukuu siwawezi peke yangu.Wow shem Cantalisia nimefurahije kukuona? mwaJ habari zake anazifahamu uzuuuuri kabisa babu yako Asprin maana ameshindikana! khaaa mi niko mpakani na malawi, najiandaa kwa vita!
Fanya maandalizi ya kutosha urudi salama, hawa wajukuu siwawezi peke yangu.
Wow shem Cantalisia nimefurahije kukuona? mwaJ habari zake anazifahamu uzuuuuri kabisa babu yako Asprin maana ameshindikana! khaaa mi niko mpakani na malawi, najiandaa kwa vita!
Fanya maandalizi ya kutosha urudi salama, hawa wajukuu siwawezi peke yangu.
Ssssshhhhhh.......hawaruhusiwi jeshini Cantalisia....lol
Huyu wa sasa hivi hakufikishi mawenzi??
Kazi gani ummu kulthum?ha ha haaaaa yaani huyo hata kazi anaiweza kwelu?
Kazi gani ummu kulthum?
Naloga mtu wallah!!
Oh! Pole charminglady. Unatumia mchina? Mbona mi Nokia yangu kitochi naziona kama kawa???babu Aspring, kiukweli nakosa uhondo wa picha. . . duh wat can i do jamani?
Kazi nzito ya usiku? Ujambazi eh? Nshakuelewa ummu kulthumwe naona unanitafutia ban ili ukae kwa maana humu eeeh?yaan ile kazi nzito ya usiku.