mwaJ
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 4,074
- 2,947
Kaizer subiri kidogo tusukume gurudumu la maendeleo nitakuja baadae.Wow shem Cantalisia nimefurahije kukuona? mwaJ habari zake anazifahamu uzuuuuri kabisa babu yako Asprin maana ameshindikana! khaaa mi niko mpakani na malawi, najiandaa kwa vita!
Asante sana na nimeimiss sana Ndofu aisee tangu jana sijagonga...ila nakujoin musa si mrefuSijambo ndugu yangu. Karibu miksa ya ginesi na nyagi.
You are my wife and a real friend. Siyo kama wengine wananizuga tu agggrrrrrrr!!
Imeanza ya maneno, siye tunajipanga na magari y deraya na vifaru so kudinyana marufuku khaaa! Kuwa mjeda kaaz kwel kwel
halafu babu Asprini ile picha cyo ya mamy cath na dady mentor ngoja akirudi kutoka Moshi tunakufungulia kesi
hahahaha kwakweli hizi jumbe za picha mie hoooii mmmhuuu....
naona babu kaenda kulala
Skype kamwamshe basi,, mwambie kuna mgeni anataka kumsabahiiii
Aunt yako nipo hapa ndo nashangaa babu hii pic mbna sio ila subiri babaako arudi kwanza sawa shangazi yangu eversmilling
Wajemeni! Mmemwona Asprin na vituko vyake vya picha za kuchekesha sio? Sikukosea sana nilipoanzisha thread maalum kwa ajili yake hapa cc. Sasa naomba twende mbali zaidi. Mwisho wa mwaka huu tuanzishe tuzo maalum ya "JF Comic Photographer of the Year" Au mwasemaje Invisible na Mike McKee? Naomba wana cc wote tuunge mkono hii hoja!
Mi na The secretary tuko hapa Coral beach,ngoja tumalizie kuoga tunakuja.
Asante sana na nimeimiss sana Ndofu aisee tangu jana sijagonga...ila nakujoin musa si mrefu
Kaizer subiri kidogo tusukume gurudumu la maendeleo nitakuja baadae.