cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi BADILI TABIA ndo ile kitu ishaisha mazima eeeeh?Asprin jiandae kunichua mbavu....
Maadam sasa umeniita kipenzi badala ya basha, haya mchungulie Kongosho hapo akiwa anaenda kujifunza kuogelea mwaka 1982...
Maadam sasa umeniita kipenzi badala ya basha, haya mchungulie Kongosho hapo akiwa anaenda kujifunza kuogelea mwaka 1982...
Maadam sasa umeniita kipenzi badala ya basha, haya mchungulie Kongosho hapo akiwa anaenda kujifunza kuogelea mwaka 1982...
Sijazoea hili jukwaa,lakini mimi sio dhaifu.
Erotica hata wewe ni dhaifu sana coz ulinipenda wakatii unajua niko na Amyner na ukang'ang'ania penzi hata baada ya kujua lolBishanga – sabb ananigwaya hata pesa zake hazmsaidii kwangu.
Erickb52 sabb hana msimamo na ni mwongo! Hakusema kaoa ili kieleweke
Amyner sabb haambiwi wala hapumui bila Eric
Black Bat sabb katoa swali bila yeye kutaja wadhaifu
Mamndenyi udhaifu wake uko kwenye kushindwa kujizuia kutoa likes
Boflo sabb najarib kufikira dhaifu lake silipati
Elizabeth Dominic udhaifu wake yale macho yale. Kashindwa kabisa kuweka yasiwe na mvuto.
Mamods wote! Kila niliyemtokea ananitolea nje, eti sbb daktari haruhusiwi kutembea na
mgonjwa- nani aliwambieni nataka kutembea??!!
Bishanga sabb ananigwaya hata pesa zake hazmsaidii kwangu.
Erickb52 sabb hana msimamo na ni mwongo! Hakusema kaoa ili kieleweke
Amyner sabb haambiwi wala hapumui bila Eric
Black Bat sabb katoa swali bila yeye kutaja wadhaifu
Mamndenyi udhaifu wake uko kwenye kushindwa kujizuia kutoa likes
Boflo sabb najarib kufikira dhaifu lake silipati
Elizabeth Dominic udhaifu wake yale macho yale. Kashindwa kabisa kuweka yasiwe na mvuto.
Mamods wote! Kila niliyemtokea ananitolea nje, eti sbb daktari haruhusiwi kutembea na
mgonjwa- nani aliwambieni nataka kutembea??!!
hahahahaha.......... u have realy completed my afternoon! umesahau kumuweka Kaizer na Asha Dii, The secretary na swahiba wako Bishanga je, mbona hujaweka picha zao? lol!
Heheheheee msikosane@Erotica ila hakikisheni kila abiria anachunga mzigo wake ndio amani itakuwepohapo umeonesha dhaifu lengine. mie nilikufuatia SEX sip penzi.
sasa kama gemu unaliweza nifanyeje? mie Amy sio issue kabisa, isshu ni kunikosanisha nae.