bukoba boy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 5,371
- 3,936
- Thread starter
- #321
Ila hawa waarabu ambao kimsingi ndio wa kwanza kumfanya mwafrika mtumwa,walifanya unyama wa kutupwa kwa kuamua kuwahasi wanaume wootee waliokua wanatumikishwa huko,lengo lao ni kua asiweze kuchanganya damu na wanawake zao wa kiarabu ila pale Zanzibar hawa waarabu walibaka kabisa dada zetu wa Kibantu ili wawazalishe.Bado wapo wanaitwa Aborigines.... DNA yamtu mweusi haifutiki..Ni DNA ya mungu