Wamiliki wa mabasi jipangeni ujio wa treni Dar to Moshi

Kwa wakati huu, muda utakaotumiwa na treni na ule unaotumiwa na mabasi hautatofautiana sana, siku hizi mabasi yanachukua mpaka saa 9 kufika Moshi, treni hii itakua na vituo vichache sana, na njia ya reli kwenda moshi ni fupi kuliko barabara, Treni itaweza kabisa kuondoka Dar saa moja jioni na kufika Moshi saa 12 asubuhi.

Hapo zamani wakati treni ilikua inakwenda moshi kulitokea ugonjwa wa kipindupindu na kusababisha vituo vingi kufungwa ikiwemo korogwe ambapo ilikua ina kaa kwa zaidi ya saa moja, wakati huo treni ilikua inafika dar saa 11 alfajiri kutoka Moshi, na moshi ilikua inaondoka saa 10
 
Ushawahi kuona shida ya usafiri inatokea safari ya kwenda hiyo mikoa uliyotaja? Hujaelewa mada vizuri.

Mwisho wa mwaka kuna shida ya usafiri sana mikoa ya kaz. Hiyo shida inatokana na uhitaji wa usafiri na wafanyabishara wa mabasi wanatumia nafasi hiyo kama fimbo kuwachapia wasafi kwa bei kubwa na hata hivyo mabasi hakuna zinaenda mpaka costa na nauli ikiwa 40k. Kilichomaanishwa wamiliki wajipange kwa sababu movement haitakuwa kama ya miaka iliyopita.
Zamani kulikuwa na treni lakini wasafiri walikua wachache

Hata kama hakutakuwa na njaa lakini hali haitafanana na kipindi kilichopita
Unategemea serikali ya JPM inatuma train ya kwenda kaskazini ifanye sawa na yanayofanyika reli ya Kati? Hiyo sahau 100%

Delux coach nibehewa sawa na seat ya yutong bus, speed ya engine yake ni kubwa na hotel ndani kwa ndani .nilitangulia kusema ukanda huo unawafanyabiasha wenye vichwa vigu u.yutong moja sio chini yaTsh 380 million na huwezi kununua yutony mojalazima ununue mbili ili zipishane nakitita chote hicho lazima uende crdb, mwisho wa siku marejesho hakuna ,utawakuta maafisa wa bank nyumbani kwako wakibandika matangazo ya mnada.kwanini biashara imeshindikana.

Mtoa mada kwani hii ndio treni ya kwanza nchini? Hadi sasa watu wanapanda mabasi ya kwenda Moro, Dom, Tabora, Kigoma na Mwanza.
 
Ajali popote ilo futa Izi Trent tumeona Cancellations ngap je muda utakuaje? wanaanzaga kwa mbwembwe sana ila haifiki mbali refer DART labda kama ni kwa msimu
Kusuko dede...treni ni salama na uhakika tofauti na basi achilia mbali kusafiri pia utatalii
 

Hongera JPM!
Maendeleo hayana vyama!
Sasa wenzangu kina Meku Xmas hii hamasisheni JPM 2020!
 
kigogo amesema ni sawa na mtu kujisaidia sebuleni kisha akazoa kile kinyesi akaanza kujisifu,mbona usafiri wa treni ulikuwepo wakauua wenyewe?
Kila dhambi ina malipo yake, waliihujumu reli wakajineemesha sasa inarudi kuwalipa sawia na matendo yao
 
Kwani ni mara ya kwanza kwa treni kwenda njia hiyo na mabus yakiwemo? Kwanza Bus zinafika mapema unatoka Ubungo saa 12 asubuhi jioni saa 10 umefika. Treni unafika kesho yake hivyo kutakuwa na choice. Kingine tatizo la treni ni reliability, mara leo safari hakuna, mara reli mbovu etc
Sijamaanisha watakosa wateja ila wawe na mbinu za kushawishi abiri,maana upinzani tayari umekuja
 
Naweza je kukosa hii kitu
Screenshot_20191204-234427.jpeg
 
Nilipo muona mpolempole kwenye uzinduzi nikajua hapa hakuna kitu ni mbwembwe tu
 
Huu mfano ni irrelevant,ungetoa ule mfano wa jiwe kujifanya anakubalika...or mara tunatoa elimu bure,tunanunua ndege zetu wenyewe kwa cash😂😂😂😂,uchaguzi ukifika anawaita watendaji na kuwaambia wakati wa kurudisha fomu wakimbie office ili wagombea wa chama chake wapite bila kupingwa na kuwakata wapinzani wote wanaogombea😂😂😂😂😂😂😂😂....mbwembwe nyingi za kujifanya anakubalika but anaogopa uchaguzi huru na haki...yaani akisikia uchaguzi anaogopa na anaweweseka kabisa😂😂😂😂
Kwa nini Mr. Mbowe anaogopa ushindani ndani ya chama chenu.
 
Back
Top Bottom