peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,829
- 21,461
Unategemea serikali ya JPM inatuma train ya kwenda kaskazini ifanye sawa na yanayofanyika reli ya Kati? Hiyo sahau 100%
Delux coach nibehewa sawa na seat ya yutong bus, speed ya engine yake ni kubwa na hotel ndani kwa ndani .nilitangulia kusema ukanda huo unawafanyabiasha wenye vichwa vigu u.yutong moja sio chini yaTsh 380 million na huwezi kununua yutony mojalazima ununue mbili ili zipishane nakitita chote hicho lazima uende crdb, mwisho wa siku marejesho hakuna ,utawakuta maafisa wa bank nyumbani kwako wakibandika matangazo ya mnada.kwanini biashara imeshindikana .
Mtoa mada kwani hii ndio treni ya kwanza nchini? Hadi sasa watu wanapanda mabasi ya kwenda Moro, Dom, Tabora, Kigoma na Mwanza.
[/QUOTE]
Delux coach nibehewa sawa na seat ya yutong bus, speed ya engine yake ni kubwa na hotel ndani kwa ndani .nilitangulia kusema ukanda huo unawafanyabiasha wenye vichwa vigu u.yutong moja sio chini yaTsh 380 million na huwezi kununua yutony mojalazima ununue mbili ili zipishane nakitita chote hicho lazima uende crdb, mwisho wa siku marejesho hakuna ,utawakuta maafisa wa bank nyumbani kwako wakibandika matangazo ya mnada.kwanini biashara imeshindikana .
Mtoa mada kwani hii ndio treni ya kwanza nchini? Hadi sasa watu wanapanda mabasi ya kwenda Moro, Dom, Tabora, Kigoma na Mwanza.
[/QUOTE]