peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,833
- 21,466
Kwa umri wako nadhani hujawahi kupanda train.tuulize sisi tuliwahi kupanda train dar moshi.tukusimulie.pili train ya Tazara inapita porini kwa porini,ingepitia morogoro mjini, iringa mjini na makombako isingefikisha abiria.mwisho ukumbuke train ya Moshi inapita pugu,mombo,korogwe na same kote ni mjini na abiria na mizigilo ni mingi.Treni za Bongo hakuna namna zinaweza kuwa bora kiusafiri zaidi ya Mabus Mbeya kuna treni ya tazara lakini Mabus ni Mengi kuliko kawaidaa