JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,937
Naomba tushauriane mambo makuu yafuatayo:
1. Jinsi ya kuwakamata/kuwavuta wateja, naambiwa ukiwawekea wahudumu wanawake wazuri lazima wajae.
2. Jinsi ya kudhibiti mapato kutokana na wizi au hasara za kuchanganya mauzo.
3. Jinsi ya kuongeza mapato katika eneo lako.
4. Changamoto za biashara hii na jinsi ya kuzitatua.
5. Jambo lolote la kuzingatia katika biashara hii.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Jinsi ya kuwakamata/kuwavuta wateja, naambiwa ukiwawekea wahudumu wanawake wazuri lazima wajae.
2. Jinsi ya kudhibiti mapato kutokana na wizi au hasara za kuchanganya mauzo.
3. Jinsi ya kuongeza mapato katika eneo lako.
4. Changamoto za biashara hii na jinsi ya kuzitatua.
5. Jambo lolote la kuzingatia katika biashara hii.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app