WAMILIKI WA BAR TUKUTANE HAPA.

WAMILIKI WA BAR TUKUTANE HAPA.

Fact ni kwamba wahudumu wa Bar hawapewi elimu ya customer care kama inavyotakiwa na pia hawapewi elimu ya kujitambua wao ni nani, mi sipendi kabisa kuona wanajirahisi na wanatembea na kila wanaemuhudumia ama meneja anawasisitiza wakubali kushikwa shikwa kuongeza mauzo na kwamba wanaweza kufukuzwa kazi wakikataa, noo hio sio nzuri kabisa. Wewe kama mmiliki ni lazima kutenga muda walau mara moja kila mwezi uwape darasa la kujitambua na huduma kwa wateja na hio sio kazi ya Manager, pia uwasikilize shida na vilio vyao ukaribu eneo la kazi kati ya muajiri na muajiriwa huleta tija sana.
Asante mkuu kwa ushauri mzuri. Tumeupokea.

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Fact ni kwamba wahudumu wa Bar hawapewi elimu ya customer care kama inavyotakiwa na pia hawapewi elimu ya kujitambua wao ni nani, mi sipendi kabisa kuona wanajirahisi na wanatembea na kila wanaemuhudumia ama meneja anawasisitiza wakubali kushikwa shikwa kuongeza mauzo na kwamba wanaweza kufukuzwa kazi wakikataa, noo hio sio nzuri kabisa. Wewe kama mmiliki ni lazima kutenga muda walau mara moja kila mwezi uwape darasa la kujitambua na huduma kwa wateja na hio sio kazi ya Manager, pia uwasikilize shida na vilio vyao ukaribu eneo la kazi kati ya muajiri na muajiriwa huleta tija sana.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Hakikisha wahudumu na badhi ya wateja ombaomba huwapi nafasi

2. Train wahuduku kama wakimuona Mteja wao kudumu ameingia na mgeni wasijifanye wanamjua sana

3. Hakikisha kila meza kuna sehemu ya kuchajia simu

4. Hakikisha unaondoa wahudumu wenye tabia ya kuzidisha bill

5...nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
 
First dili ni kuwa na best manager, tena ikiwezekana chukua hawa graduate wa business administration au human resources. Tena ukimpata manager mwenye uwezo kwa kukufanyia Swot analysis vizuri na kuwa-commited kwenye kazi yake. Then mpe room ya kufanya kazi yake vizuri. Haki tena utaleta mrejesho hapa.....maana hiyo biashara itasimama amna mfano.

Second, wewe pia jiweke kibiashara ndugu, kama umeamua kufanya biashara ya bar. Hakikisha una-full facilities ikiwemo vinywaji pendwa vyote and attractive area.......

Note.
Yapo mambo mengi sana ya kufanya, ili ufanikiwe kwenye biashara hii. Ila hayo mawili hapo juu ni uchawi mkubwa sana kwenye biashara hiyo.

"Walevi ni walele, wanabadili bar tu...."

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu, umenifungua mengi.

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
1. Hakikisha wahudumu na badhi ya wateja ombaomba huwapi nafasi

2. Train wahuduku kama wakimuona Mteja wao kudumu ameingia na mgeni wasijifanye wanamjua sana

3. Hakikisha kila meza kuna sehemu ya kuchajia simu

4. Hakikisha unaondoa wahudumu wenye tabia ya kuzidisha bill

5...nk nk

Sent using Jamii Forums mobile app
Asanteeee sana. Kweli wewe umeiva vyema.

Sent from my SM-J500F using JamiiForums mobile app
 
Tuwekeeni wahudumu wasichana wadogo wenye shape namba 8 nyonga nyembamba tako na paja la haja, vazi zuri pendwa sketi fupi yenye mpasuo mrefu ili tuone mapaja kwa juu na kitopu pia urembo wa shanga kiunoni ili wakati ananifungulia nizishikeshike vikuku miguuni hapo ntakunywa hadi asbh....haya mambo huwa nayapata Java Lounge Banana

#bamia_ndefunene
 
Tuwekeeni wahudumu wasichana wadogo wenye shape namba 8 nyonga nyembamba tako na paja la haja, vazi zuri pendwa sketi fupi yenye mpasuo mrefu ili tuone mapaja kwa juu na kitopu pia urembo wa shanga kiunoni ili wakati ananifungulia nizishikeshike vikuku miguuni hapo ntakunywa hadi asbh....haya mambo huwa nayapata Java Lounge Banana

#bamia_ndefunene
Mkuu hapo kutakuwa na biashara tena? Si yatakuwa ya ngoswe kazi ya sensa ikamshinda kutokana na kuendekeza mapenzi na binti mazoea? Siamini hapo kama kutakuwa na biashara tena, labda liwe danguro sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hapo kutakuwa na biashara tena? Si yatakuwa ya ngoswe kazi ya sensa ikamshinda kutokana na kuendekeza mapenzi na binti mazoea? Siamini hapo kama kutakuwa na biashara tena, labda liwe danguro sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Biashara itakuwepo mkuu sababu mhudumu mmoja anaweza kuwa na wateja 30 waliovutiwa naye na hawataki kuonekana makapuku watajikamua kuchafua meza na kumwachia bint change ambazo zitamsaidia kuingia saloon na kula kongoro azidi kunawiri

#bamia_ndefunene
 
Biashara itakuwepo mkuu sababu mhudumu mmoja anaweza kuwa na wateja 30 waliovutiwa naye na hawataki kuonekana makapuku watajikamua kuchafua meza na kumwachia bint change ambazo zitamsaidia kuingia saloon na na kula kongoro azidi kunawiri

#bamia_ndefunene
Balaaa
 
Weka Wahudumu wenye "MAKOTA" makubwa na HIPS Kubwa,Ngozi laini wachangamfu full bashasha na tabasamu,Jiko lisinune liwe fresh mbuzi choma,ndizi,ng'ombe choma,ugali etc
 
Biashara itakuwepo mkuu sababu mhudumu mmoja anaweza kuwa na wateja 30 waliovutiwa naye na hawataki kuonekana makapuku watajikamua kuchafua meza na kumwachia bint change ambazo zitamsaidia kuingia saloon na kula kongoro azidi kunawiri

#bamia_ndefunene
Asante mkuu. Tumelipokea.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom