Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 877
- 4,106
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.
Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane