Wamasai wanakwenda kuua misaada ya UN na EU kwa Tanzania; Ngorongoro imetugeuka vibaya

Resilience

JF-Expert Member
Jan 4, 2023
877
4,106
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
 
Screenshot_20231214_223815_Gallery.jpg
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Mkuu,

Kwanza kabisa, nakubaliana na mengi uliyoandika.

Lakini.

Kusema wazungu ni waasisi wa maliasili wakati Afrika kuna mpaka dini za asili zinazolazimisha kutunza maliasili za mazingira, wakati sisi Waafrika tulikuwa tunafanya recycling miaka ya zamani kabla wazungu hawajaifanya recycling kuwa fashionable, ni kutojua historia.

Sema hivii, Muafrika akifanya recycling anaonekana masikini tu huyo hana hela ya kununua kipya, Mzungu akifanya recycling anaitwa mwanamazingira.

Muafrika akitunza maliasili za mazingira kwa mental model ya dini yake, akikataza miti isikatwe, anaitwa mpagani, Mzungu akikataza miti isikatwe, anaitwa mwanamazingira anayetunza maliasili za mazingira.

Naona umeingia katika mtego huu na kumuita Mzungu muasisi wa maliasili, wakati huko Marekani na Ulaya maendeleo ya ki teknolojia yamesababisha uharibifu mkubwa kabisa wa maliasili na mazingira.
 
Mkuu,

Kwanza kabisa, nakubaliana na mengi uliyoandika.

Lakini.

Kusema wazungu ni waasisi wa maliasili wakati Afrika kuna mpaka dini za asili zinazolazimisha kutunza maliasili za mazingira, wakati sisi Waafrika tulikuwa tunafanya recycling miaka ya zamani kabla wazungu hawajaifanya recycling kuwa fashionable, ni kutojua historia.

Sema hivii, Muafrika akifanya recycling anaonekana masikini tu huyo hana hela ya kununua kipya, Mzungu akifanya recycling anaitwa mwanamazingira.

Muafrika akitunza maliasili za mazingira kwa mental model ya dini yake, akikataza miti isikatwe, anaitwa mpagani, Mzungu akikataza miti isikatwe, anaitwa mwanamazingira anayetunza maliasili za mazingira.

Naona umeingia katika mtego huu na kumuita Mzungu muasisi wa maliasili, wakati huko Marekani na Ulaya maendeleo ya ki teknolojia yamesababisha uharibifu mkubwa kabisa wa maliasili na mazingira.
Umewahi kusafiri nje ya Tanganyika?
 
Huu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.

Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Lakini pia wengi wetu humu mnachangia kishabiki zaidi ya uhalisia.
Tena wengi wenu mnatumia taarifa za wanaharakati kuliko uhalisia ulivyo.Ili kuulinda utalii na kipato chake nchini.Ilikuwa ni lazima wamasai wapunguzwe pamoja na mifugo yao inayoongezeka kuliko eneo husika.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
 
Pamoja na mimi kutounga mkono yaliyofanyika Loliondo Lakini Sio kila maamuzi ya nchi za kiafrika kwamba lazima yawafurahishe wazungu.Hao ni wanafiki watupu.
Sababu rasmi sio kuwapenda Wamasai bali ni kwa sababu kule anapewa hasimu wao mkuu ambaye ni Mwarabu.

Na kingine ni siasa uchwara za upinzani wa kitanzania.
Hiyo ndio kazi ya Tundu Lissu anayoifanya kila anapokwenda huko kwa wafadhili wake wakuu.
Kama ni kazi ya Tundu Lissu basi nimezidi kumkubali.
Asante kwa kunifahamisha Mkuu.
 
Maamuzi ya bunge la Ulaya kuhusu kuhamisha Wamasai Ngorongoro linakwenda kutaathiri kiuchumi. Tutaathirika kwa sababu tulitumia nguvu huku tukijua kabisa kwamba tunajipanga kuimarisha mahusiano na mataifa mengine.

Bunge la Ulaya kwa zaidi ya asilimia 90 limesema maamuzi ya Tanzania siyo sahihi. Means wazungu wanawapenda Watanzania kuliko sisi tunavyojipenda. Wazungu ni waasisi wa maliasili ,walitunga sheria na kanuni zote za kulinda rasilimali. Wamesema Wamasai ni ASILI na kwamba hakuna kinachoweza kufuta asili yao ngorongoro.

Tunatokaje hapa? Tunawezaje kukwepa athari za kiuchumi pale watakapoamua kulimalia hii hoja? Tujadiliane
Mungu wabariki Wazungu
 
Tujadiliane

Maazimio ya pamoja


13.12.2023 JOINT MOTION FOR A RESOLUTION on the Maasai Communities in Tanzania​


Motion for a European Parliament resolution on the Maasai Communities in Tanzania

(2023/3024(RSP))

The European Parliament,

– having regard to Rules 144(5) and 132(4) of its Rules of Procedure,

A. whereas the Maasai communities are facing evictions from their land in the Ngorongoro District, which includes the Ngorongoro Conservation Area and the Loliondo Area;

B. whereas in June 2022, the Tanzanian authorities began converting 1 500 km2 of land in Loliondo into a game reserve, leading to widespread evictions and depriving over 70 000 people of access to grazing land critical for their livestock’s health and their livelihoods; whereas this was not the first attempt to block the Maasai in Loliondo from accessing grazing village land with little or no consultation;

C. whereas since June 2022 in the Ngorongoro Conservation Area, the government has restricted access to vital services such as food, education, water and healthcare, forcing the departure of many Maasai communities;

D. whereas respect of Indigenous Peoples and Local Communities (IPLC) rights is a prerequisite for effective biodiversity conservation; whereas UN independent experts and the African Commission on Human and Peoples’ Rights have urged Tanzania to stop all forced evictions in Ngorongoro and have raised concerns about the government’s inadequate consultation with the affected Maasai communities and the lack of transparency;

1. Urges the Tanzanian Government to immediately halt the forcible evictions of Maasai communities, to avoid any measures that will negatively impact the lives, livelihoods and cultures of these communities, to guarantee their safe return and uphold their right of access to justice and effective remedies for victims;

2. Calls on the Tanzanian Government to recognise and protect the rights of IPLCs and to recognise the lands and resources that the Maasai communities have managed for generations and their role in maintaining wildlife and biodiversity;

3. Reaffirms that all measures relating to Maasai communities must respect the rule of law and human rights, with particular regard to the rights of IPLCs;

4. Calls on the authorities to work with affected communities to design a permanent and acceptable solution for the Maasai in the Ngorongoro District that respects their rights;

5. Calls on the European External Action Service and the Commission in their political dialogue with the Tanzanian Government to insist on the importance of upholding human rights;

6. Urges the Tanzanian Government to allow UN and EU institutions observation visits;

7. Calls on the Commission to increase its development cooperation and humanitarian aid allocations for Tanzania, given that no aid had initially been planned in support of the Maasai;

8. Calls on the Commission to report to Parliament on EU budget support programmes and other initiatives in Tanzania, with particular attention to projects dealing with biodiversity loss and climate change and to the built-in human rights safeguards;

9. Instructs its President to forward this resolution to the EU institutions, the Member States, the Government and Parliament of Tanzania, and the UN.

Wajumbe :
Željana Zovko, David McAllister, Vladimír Bilčík, Janina Ochojska, Miriam Lexmann, Michaela Šojdrová, Tomáš Zdechovský, Ivan Štefanec, Inese Vaidere
on behalf of the PPE Group
Pedro Marques, Karsten Lucke
on behalf of the S&D Group
Charles Goerens, Petras Auštrevičius, Izaskun Bilbao Barandica, Bernard Guetta, Ilhan Kyuchyuk, Dragoş Pîslaru, Frédérique Ries, María Soraya Rodríguez Ramos, Ramona Strugariu, Hilde Vautmans
on behalf of the Renew Group
François Thiollet, Malte Gallée, Hannah Neumann, Pierrette Herzberger‑Fofana
on behalf of the Verts/ALE Group
Anna Fotyga, Karol Karski, Angel Dzhambazki, Ryszard Czarnecki, Assita Kanko, Anna Zalewska, Bogdan Rzońca, Elżbieta Rafalska, Witold Jan Waszczykowski, Joachim Stanisław Brudziński, Elżbieta Kruk, Adam Bielan, Waldemar Tomaszewski, Carlo Fidanza
on behalf of the ECR Group
Miguel Urbán Crespo
on behalf of The Left Group
Source : JOINT MOTION FOR A RESOLUTION on the Maasai Communities in Tanzania | RC-B9-0511/2023 | European Parliament
 
Huu ulikuwa unyanyasaji mkubwa sana. Watu wameishi hapo miaka yote, unakuja kuwatoa ghafla na kutaka waanze maisha mengine ambayo sio asili yao.

Ngoja tuone, ila naunga mkono uamuzi huo.
na sisi wazigua tulivyokuwa mmabwege badala tuungane na wamasai kwa kuwakataa kule handeni....tukachekelea ujio wao...huku tukisahau kuwa kuna ule msemo usemao "ukiona mwenzako ananyolewa tia nywele zako maji"

kama wamasai waliweza kufurushwa kwenye maeneo yao...nina ambae atabakizwa 😭😭😭😭​
 
Back
Top Bottom