kweli mkuuHao ni wamangati ni mashujaa sana kuliko wamasai. Kila mtu akimudu kuishi sehemu alipo bila woga na kwa ujasiri basi ni SHUJAA.
Wangekimbia tu hakuna namna hahahaSpati picha hao simba wange wa dindia hao masai hiyo ligi sijui ingekuwaje?
Wangekimbia tu hakuna namnaSpati picha hao simba wange wa dindia hao masai hiyo ligi sijui ingekuwaje?
Tena vitoto vidogo unakuta vimesha anza mapenzi ukitaka uamini tembelea Beach mida ya jioni kuanzia saa moja na kuendelea siku za sikukuuwatu wa pwani nao ni mashujaa duuuh!
Si ndo hao wanaonyanyaswa na vitoto vya panyaroad
HahahahhhaMasai mbwembwe zoye ni porini tu hebu mlete ziwani hapo utamuua masai na maji ya ziwani ni vitu viwili tofauti kabisa halafu kama kuogelea basi mimi ni shujaa nina uwezo ziwa likiwa shwari natoka kamanga ferry mjini mpaka kamanga ferry ng'ambo ya sengerema
Hivi damu inalewesha eeh mkuu!But wanawasubir kwanza simba wale kidogo nywe na damu. Wakishalewa damu ndo wanaenda ...wakat huo simba hua anakua kawa mzito na hataki putukushani. Hata fisi tu wangeweza kuwakimbiza hao simba.
mhMasai mbwembwe zoye ni porini tu hebu mlete ziwani hapo utamuua masai na maji ya ziwani ni vitu viwili tofauti kabisa halafu kama kuogelea basi mimi ni shujaa nina uwezo ziwa likiwa shwari natoka kamanga ferry mjini mpaka kamanga ferry ng'ambo ya sengerema
Ujasiri kwa Wamasai sio kitu cha kuuliza ama kuigiza. ni INBORN THING, mtoto mdogo wa kiume wa kimasai anaweza kutoka na sime usiku wa manane umbali wa kilometer kadhaa bila woga, achilia mbali Moran aliyetoka jando mwenye Mkuki mzito wa kilo 3 mkononi.
Mwanamke mmoja wa Kimasai ana ujasiri unaowazidi Wanaume 300 wa Dar es salaam.
Siku hizi wanasuka nywele madem
WANAUME WA DAR WOTE NI MASHUJAA
Wanaume wa mikoani hivi mlifanywa nini na wanaume wa dar?je ni vitu vyenye ncha kali walitumia kwenu?