Wamasai ni watu jasiri sana

Wamasai ni watu jasiri sana

Time Traveller

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2016
Posts
314
Reaction score
305
Kuna video nimeiona (nimeiambatanisha hapa) inaonesha wamaasai wale wanaoishi kule mbugani wakitumia njia moja ya ajabu sana kupata kitoweo. Yaani jamaa wanasubiri simba wawinde na kuua mnyama kisha wanaenda kuwanyan'ganya wale simba ule msosi wao yaani bila uoga mbele ya Simba kama 15 hivi wenye NJAA Kali. Wenyewe wanakwambia wana wa bluff wale Simba yaani wanawahadaa akili tu. Je unaweza kuthubutu hicho kitendo? Angalia hapa
 
Mimi nahisi malezi waliyo lelewa tokea utoto wamefundishwa wao ndo wanatakiwa wawa control hao wanyama nasiyo wanyama ndio wawa control wao ni mental set sasa just imagine mtu tokea mtoto anawaona simba tu na simba tokea zamani wanaona hawa wavaa mashuka wanatuuwa lazima waogope ni sawa sawa na mtu wa bara akija huku pwani anashangaa katoto kadogo kanapiga mbizi baharini kina cha meli kupita lazima waseme watu wa pwani ni mashujaa
 
Mimi nahisi malezi waliyo lelewa tokea utoto wamefundishwa wao ndo wanatakiwa wawa control hao wanyama nasiyo wanyama ndio wawa control wao ni mental set sasa just imagine mtu tokea mtoto anawaona simba tu na simba tokea zamani wanaona hawa wavaa mashuka wanatuuwa lazima waogope ni sawa sawa na mtu wa bara akija huku pwani anashangaa katoto kadogo kanapiga mbizi baharini kina cha meli kupita lazima waseme watu wa pwani ni mashujaa
Watu wa pwani ni mashujaa?
 
Mimi nahisi malezi waliyo lelewa tokea utoto wamefundishwa wao ndo wanatakiwa wawa control hao wanyama nasiyo wanyama ndio wawa control wao ni mental set sasa just imagine mtu tokea mtoto anawaona simba tu na simba tokea zamani wanaona hawa wavaa mashuka wanatuuwa lazima waogope ni sawa sawa na mtu wa bara akija huku pwani anashangaa katoto kadogo kanapiga mbizi baharini kina cha meli kupita lazima waseme watu wa pwani ni mashujaa
watu wa pwani nao ni mashujaa duuuh!
Si ndo hao wanaonyanyaswa na vitoto vya panyaroad
 
Ujasiri kwa Wamasai sio kitu cha kuuliza ama kuigiza. ni INBORN THING, mtoto mdogo wa kiume wa kimasai anaweza kutoka na sime usiku wa manane umbali wa kilometer kadhaa bila woga, achilia mbali Moran aliyetoka jando mwenye Mkuki mzito wa kilo 3 mkononi.

Mwanamke mmoja wa Kimasai ana ujasiri unaowazidi Wanaume 300 wa Dar es salaam.
 
ni sawa na sisi ambao wanawake wa pwani wakija kwetu wanakuta mtu ameoa lakini bado hajatairiwa. ila ana mkono wa mtoto unaninginia
 
Mimi nahisi malezi waliyo lelewa tokea utoto wamefundishwa wao ndo wanatakiwa wawa control hao wanyama nasiyo wanyama ndio wawa control wao ni mental set sasa just imagine mtu tokea mtoto anawaona simba tu na simba tokea zamani wanaona hawa wavaa mashuka wanatuuwa lazima waogope ni sawa sawa na mtu wa bara akija huku pwani anashangaa katoto kadogo kanapiga mbizi baharini kina cha meli kupita lazima waseme watu wa pwani ni mashujaa
Binadamu ameumbwa kwa mfano wa Mungu..anatisha sn viumbe vyote kapewa avitawale..lkn dhambi na uovu mwingi ndio ulio sababisha tuwe adui navyo..lkn wachache kama wamasaai wa porini ndio wana kautashi haka japo kadogo
 
Mimi nahisi malezi waliyo lelewa tokea utoto wamefundishwa wao ndo wanatakiwa wawa control hao wanyama nasiyo wanyama ndio wawa control wao ni mental set sasa just imagine mtu tokea mtoto anawaona simba tu na simba tokea zamani wanaona hawa wavaa mashuka wanatuuwa lazima waogope ni sawa sawa na mtu wa bara akija huku pwani anashangaa katoto kadogo kanapiga mbizi baharini kina cha meli kupita lazima waseme watu wa pwani ni mashujaa
kwamba vitoto vya pwani vinapiga mbizi baharini, yaan kwamba vitoto vya pwani no vishaa!?
 
Ujasiri kwa Wamasai sio kitu cha kuuliza ama kuigiza. ni INBORN THING, mtoto mdogo wa kiume wa kimasai anaweza kutoka na sime usiku wa manane umbali wa kilometer kadhaa bila woga, achilia mbali Moran aliyetoka jando mwenye Mkuki mzito wa kilo 3 mkononi.

Mwanamke mmoja wa Kimasai ana ujasiri unaowazidi Wanaume 300 wa Dar es salaam.
Mkuu wanaume wa Dar wa huku JF watakuita mchochezi hahaha aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom