Tanganyika imeikalia shingoni Zanzibar kwa kivuli cha Muungano
DuhTanganyika imeikalia shingoni Zanzibar kwa kivuli cha Muungano
Ukweli umefichwaTanganyika imeikalia shingoni Zanzibar kwa kivuli cha Muungano
Sasa mkoa si kamkoa ketu hako auTanganyika imeikalia shingoni Zanzibar kwa kivuli cha Muungano
Hujui wewe tu, Zanzibar ni mkoa maalumu na wala si nchi.Tanganyika imeigeuza Zanzibar popo, si mnyama si ndege. Yaani si nchi si mkoa
Rais anachaguliwa dodoma. Vikosi gani ilivyo navyo zanzibarKuna mkuu wa mkoa anaitwa Rais na ana vikosi vyake vya ulinzi?
Kalagabaho.Kuna mkuu wa mkoa anaitwa Rais na ana vikosi vyake vya ulinzi?
Kwenda wapi?Hivi Zanzibar ikijitoa Muungano ndo itaendelea?
Geresha hiyo, hamna kitu hapo. Mkoa wa Tanzania. VisiwaniKuna mkuu wa mkoa anaitwa Rais na ana vikosi vyake vya ulinzi?
Kumbe shida ni masheikh magaidi wale?Kwani kuendelea ndio huku kukabwa shingo na kuwekwa ndani masheikh na kubambikiwa kesi huku mkiuliwa. Watoto wenu wakibakwa na mali zenu kuchukuliwa?
Hiyo kwenda umeitoa wapi mbona mm sijaisemaKwenda wapi?