Wamama na Wadada wa Saloon, tusugueni polepole

Wamama na Wadada wa Saloon, tusugueni polepole

Unaijua haingii akilini kabisa eti dume zima unaenda salon kufanyiwa scrub!

Kuna siku nilikafokea kamdada kamoja hivi kwa kinyozi pale Victoria kwenye kona ya kwenda Mwananyamala.

Mi nimeenda kunyolewa nywele kichwani na ndevu kenyewe kananiuliza kama nataka scrub sijui na nini kile kingine....

Nikakaambia we 'binti tafadhali sana niheshimu nami ntakuheshimu. Sifanyagi hayo madudu mimi'

Ungempa jibu moja tu kwamba 'sihitaji' ungekatika mkono
 
Unaijua haingii akilini kabisa eti dume zima unaenda salon kufanyiwa scrub!

Kuna siku nilikafokea kamdada kamoja hivi kwa kinyozi pale Victoria kwenye kona ya kwenda Mwananyamala.

Mi nimeenda kunyolewa nywele kichwani na ndevu kenyewe kananiuliza kama nataka scrub sijui na nini kile kingine....

Nikakaambia we 'binti tafadhali sana niheshimu nami ntakuheshimu. Sifanyagi hayo madudu mimi'

Ule ni ujinga na kujiendekeza. Kwa mwanaume smart na anayejiamini hawezi kukubali vile vidada vyenye MAPEPO vya saloon za kiume kumshika shika kichwa chake. Maliza kunyoa nenda kwenu kaoshe nywele kwani lazima vile vikojozi vikushike shike. Mtu unapoteza heshima kuruhusu kushikwa shikwa na vile vibinti vingine tunaweza kuvizaa
 
Aah hamna bana...mi bongo sijaja muda mrefu saaaana................

Hiyo salon uliyoitaja inaitwa CK na moja ya vinyozi pale anaitwa Bw. Willy...

Hadi leo huo utaratibu wa kugombewa na wale wadada kwa ajili ya scrub upo...

Halafu huwa wanaenda mbali zaidi wanataka hadi kuosha miguu, kuweka sijui weave hair n.k..
 
Ule ni ujinga na kujiendekeza. Kwa mwanaume smart na anayejiamini hawezi kukubali vile vidada vyenye MAPEPO vya saloon za kiume kumshika shika kichwa chake. Maliza kunyoa nenda kwenu kaoshe nywele kwani lazima vile vikojozi vikushike shike. Mtu unapoteza heshima kuruhusu kushikwa shikwa na vile vibinti vingine tunaweza kuvizaa

Yaani vingine ni vidogo kweli. Kama hicho kilichoniuliza kama nataka scrub kimezaliwa '95.

Mwaka huo tayari mi nshaanza kubeba boksi. Naweza kabisa kuwa baba'ake. Eti ndo kaanze kunifanyia sijui manini hayo wanayoyafanya....no bueno!
 
Hiyo salon uliyoitaja inaitwa CK na moja ya vinyozi pale anaitwa Bw. Willy...

Hadi leo huo utaratibu wa kugombewa na wale wadada kwa ajili ya scrub upo...

Halafu huwa wanaenda mbali zaidi wanataka hadi kuosha miguu, kuweka sijui weave hair n.k..

Oh yeah...hata huyo bwana nafahamiana naye.

Na hao wadada walikuwa na tabia hiyo kila wakiniona hadi nilipowaeleza bayana kuwa huwa sifanyi hayo mambo.

Huwa naenda kufanyiwa line-up ya goatee au sideburns na mara moja moja kunyoa za kichwani. Nothing more nothing less.
 
Hizo huduma nyingine ni heli ukafanyiwa na mpenzi wako nyumbani lakini sio hao wanawake wa salon mana naona wamekaa kikahaba na kibiashara zaidi..kila siku wanakutana na wanaume mbalimbali sasa fikiria hayo manjonjo ya viganja vyao wangapi wanaomba huduma ya ziada..,
 
Back
Top Bottom