Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,757
Wameandaa wenyewe machinga unaongopa ili iweje mkuu?
Wameandaa wenyewe machinga unaongopa ili iweje mkuu?
Machinga wenyeweHao ni machinga kweli wanaofanya conference kwa selena hotel au ni janja ya chama fulan kuonesha uma machinga wameunga juhudi
Uongo usemao ni kwa faida ipi na ya nani mkuu?Hawa ni UVCCM wameandaa hii kujifanya machinga
Walipoachiwa kufanya biashara zao maeneo waliyokua mwanzo mlisema inatafutwa credibility ya kisiasa,sasa hivi wanapangwa na kuondolewa sehemu walizokua wameziba njia pia unasema inatafutwa credibility ya kisiasa!Jibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?
Achana na habari za awamu, Kubali CCM mlikosea sana na mnatakiwa kuwaomba radhi kabla ya kuwafanyia huu udhalimu. We said it before mkatuona sio wazelendo
🤣Maajabu mnooWalipoachiwa kufanya biashara zao maeneo waliyokua mwanzo mlisema inatafutwa credibility ya kisiasa,sasa hivi wanapangwa na kuondolewa sehemu walizokua wameziba njia pia unasema inatafutwa credibility ya kisiasa!
Pinga pinga FC ni team ya maajabu sana.
Sawa Mkuu....
Basi ni kipenzi chetu kasoro wewe Mkuu wangu 🙏
wameenda wenyewe wewe ndo umewapelekaa au kuona jina viongozi wa machinga bila kutumia hata ubongo wako kidogo ushaamini ni wenyewe wameandaa hiyo press.Wameandaa wenyewe machinga unaongopa ili iweje mkuu?
Hio michezo ya kisiasa mkuu, kama wale wachoma mahindi na mama ntilie waliokuwa staged kwenye ziara za hayatiJe, ni Viongozi wa kuchaguliwa kweli au ni mapandikizi ya maccm pretending to be machinga leaders!?
JPM alikuwa akiwatumia kisiasa kama mbadala wa UVCCM.Kwahio unapingana na Mwendazake? Kama mwenzio jingalao
Kwa hizo shukrani walizozitoa mwisho sidhani kama kuna any bad news isipokuwa kuunga mkono juhudi za Mama!!Naam
Naona watakuja na tamko tamu
Sidhani kama watahamasishana kugomea. Lakini hoja inakuja
Hasara za kuwa na machinga ni nyingi kuliko uhalisia wa maendeleo yao. Watu wanakwepa kupanga ili wasilipe kodi wakati ni wachafuzi, wanaharibu maeneo husika ya maegesho, wanaziba barabara watu wanagongwa wanakufa, wezi wamejificha humour over.Jibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?
Achana na habari za awamu, Kubali CCM mlikosea sana na mnatakiwa kuwaomba radhi kabla ya kuwafanyia huu udhalimu. We said it before mkatuona sio wazelendo
Nimejenga hoja lakini wewe huioni kamanda uchwara.Tembea na thread acha utoto, jifunze kujenga hoja
Washanunuliwa hao ningetegemea wangefanya kwenye mazingira yanayoendana na Hali zaoViongozi wa wamachinga press conference Serena hotel....
Tatizo kubwa ninaloliona ni hiliHao washaingizwa kwenye mfumo kuwakandamiza wenzao