Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 4,941
- 6,192
Machinga ndio waombe radhi kuvamua kwa nguvu maeneo ya wapita kwa miguu na kuharibu miundo mbinu huku hawalipi kodi. Sisi walipa kodi tunaunga mkono serikali hata msaada wa kuwatoa kwa nguvu tupo tayari.Jibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?
Achana na habari za awamu, Kubali CCM mlikosea sana na mnatakiwa kuwaomba radhi kabla ya kuwafanyia huu udhalimu. We said it before mkatuona sio wazelendo
Tokeni barabarani tulikuwa tunawavumilua tu.