Wamachinga kufanya Press Conference Serena Hotel 20/10/2021

Jibu hoja, kwanini mnachezea maisha ya Wamachinga ili kupata credibility ya kisiasa? Mnajua hawa watu wana familia? Kwanini mliwaruhusu?

Achana na habari za awamu, Kubali CCM mlikosea sana na mnatakiwa kuwaomba radhi kabla ya kuwafanyia huu udhalimu. We said it before mkatuona sio wazelendo
Machinga ndio waombe radhi kuvamua kwa nguvu maeneo ya wapita kwa miguu na kuharibu miundo mbinu huku hawalipi kodi. Sisi walipa kodi tunaunga mkono serikali hata msaada wa kuwatoa kwa nguvu tupo tayari.
Tokeni barabarani tulikuwa tunawavumilua tu.
 
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.

Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.

Jiji limeanza kupendeza

View attachment 1980139

PIA, SOMA:
- Mabadiliko: Viongozi wa wamachinga kufanya Press Conference Ofisi za Wamachinga Kariakoo badala ya Serena Hotel
Kumbe wamachinga wa Dar wana fweza wanafanyia mkutano na waandishi wa habari kwenye hoteli ya kitalii ya nyota tano, badala ya kufanyia kwenye bar ya meku.
 
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.

Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.

Jiji limeanza kupendeza

View attachment 1980139

PIA, SOMA:
- Mabadiliko: Viongozi wa wamachinga kufanya Press Conference Ofisi za Wamachinga Kariakoo badala ya Serena Hotel
Machinga wa kufanya press Serena Hotel 😂😂,labda huyo machinga kafadhiliwa na machadema..

Machinga naowajua mimi hawajui hata hiyo Serena Hotel iko wapi na inafananaje.
 
Machinga ndio waombe radhi kuvamua kwa nguvu maeneo ya wapita kwa miguu na kuharibu miundo mbinu huku hawalipi kodi. Sisi walipa kodi tunaunga mkono serikali hata msaada wa kuwatoa kwa nguvu tupo tayari.
Tokeni barabarani tulikuwa tunawavumilua tu.
Watoke kwakweli hawana manufaa na nchi
 
Tunawakaribisha kwenye Press Conference Leo kama tangazo linavyoonyesha sisi Wamachinga tuliobomolewa vibanda vyetu, tunaomba mtuafuatilie tutakua online.

Pia tutampongeza Mheshimiwa Raisi kwa speed yake ya kutuwekea mazingira mazuri ya biashara.

Jiji limeanza kupendeza

View attachment 1980139

PIA, SOMA:
- Mabadiliko: Viongozi wa wamachinga kufanya Press Conference Ofisi za Wamachinga Kariakoo badala ya Serena Hotel
Sisi kwa Sisi Pub

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom