VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,140
- 18,006
Rais anapokosea,hawezi kuomba msamaha. Katika muktadha wa kisheria,husemwa 'Kings do no wrong'. Profesa mkenya P. L. O. Lumumba,aliwahi kutuambia watanzania pale Blue Pearl,Ubungo Plaza kuwa Rais hawezi kuomba msamaha.
Hajanituma. Sijatumwa na yeyote. Mimi namwombea msamaha kivyangu tu. Ni wazi Rais ameteleza kuwaita wapata daraja la nne vilaza na wengine wa madaraja mengine vipanga. Rais aliteleza kuchanganya mambo ya wanafunzi wa St. Joseph na wale wa UDOM. Wale wa UDOM hawakurudishwa nyumbani kwakuwa ni vilaza.
Rais aliyatumia maneno vilaza na vipanga kiutaniutani tu. Hakuwa na nia ya kuudhi,kukejeli wala kuumiza. Kwa vyuoni,hata UDSM,vilaza wapo na vipanga wapo. Kiutaniutani tu. Rais asamehewe na mada ifungwe. Rais anapaswa kufanya mambo mengine!
Mzee Tupatupa-Kilaza wa Lumumba,Dar es Salaam
Hajanituma. Sijatumwa na yeyote. Mimi namwombea msamaha kivyangu tu. Ni wazi Rais ameteleza kuwaita wapata daraja la nne vilaza na wengine wa madaraja mengine vipanga. Rais aliteleza kuchanganya mambo ya wanafunzi wa St. Joseph na wale wa UDOM. Wale wa UDOM hawakurudishwa nyumbani kwakuwa ni vilaza.
Rais aliyatumia maneno vilaza na vipanga kiutaniutani tu. Hakuwa na nia ya kuudhi,kukejeli wala kuumiza. Kwa vyuoni,hata UDSM,vilaza wapo na vipanga wapo. Kiutaniutani tu. Rais asamehewe na mada ifungwe. Rais anapaswa kufanya mambo mengine!
Mzee Tupatupa-Kilaza wa Lumumba,Dar es Salaam