The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,445
- 8,299
Hi Great thinkers.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.
Nafikiri kuna jambo haliko sawa hasa tunaposema tulipigania uhuru. Tulipigana na nani.?
Mi navojua ule ulikuwa ni mchakato wa kupata uhuru wa Tanganyika, Na hakuna mtu aliyegoma kutupatia uhuru eti hadi tuanze kupigania.
Ni bora isemwe tu kwamba walioongoza harakati za kupata uhuru wa Tanganyika na siyo kupigana .
Labda kama ni sielewo kiwahili vizuri kati ya harakati/Kupigana.