Walioonja shubiri ya maamuzi mabaya ya Hayati Ndugai, kama una clip pandisha hapa

Walioonja shubiri ya maamuzi mabaya ya Hayati Ndugai, kama una clip pandisha hapa

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
17,562
Reaction score
27,633
Siyo nia mbaya bali kwa kuwakumbusha wanadamu kuwa "tuishi maisha humble" kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa. Tuwataje waliopitia maamuzi mabovu ya Job NDUGAI alipokuwa Spika wa Bunge;:

1. Chilongani alipigwa fimbo akazimia kwenye kura za maoni za CCM mwaka 2015

2. John Mnyika (CHADEMA) alitolewa kama mbwa bungeni kwenye vikao vya 2015-20


3. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

4. Aliponda waalmu kugombea ubunge

4. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19
Screenshot_20250807_143039_WhatsApp.jpg


Ongeza na wewe unayoikumbuka
 
Ndugai atakumbukwa kwa bunge lake akiwa spika lilipitisha na kutenga bajeti zote za miradi mikubwa ambayo nchi tunajivunia kwa sasa.
Kama bunge la Ndugai lingekataa ujenzi wa bwawa la umeme nchi ingekuwa gizani hadi leo, ujenzi wa SGR ambayo hadi masikini sasa wanatumia masaa 3 tu kutoka Dom -Dar.
Pia Ndugai alikataa waziwazi nchi yetu kuwa ombaomba.
 
Siyo nia mbaya bali kwa kuwakumbusha wanadamu kuwa "tuishi maisha humble" kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa. Tuwataje waliopitia maamuzi mabovu ya Job NDUGAI alipokuwa Spika wa Bunge;:

1. Chilongani alipigwa fimbo akazimia kwenye kura za maoni za CCM mwaka 2015

2. John Mnyika (CHADEMA) alitolewa kama mbwa bungeni kwenye vikao vya 2015-20
View attachment 3434914
3. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

4. Aliponda waalmu kugombea ubunge
View attachment 3434929
4. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19
View attachment 3434931

Ongeza na wewe unayoikumbuka
 
Ndugai atakumbukwa kwa bunge lake akiwa spika lilipitisha na kutenga bajeti zote za miradi mikubwa ambayo nchi tunajivunia kwa sasa.
Kama bunge la Ndugai lingekataa ujenzi wa bwawa la umeme nchi ingekuwa gizani hadi leo, ujenzi wa SGR ambayo hadi masikini sasa wanatumia masaa 3 tu kutoka Dom -Dar.
Pia Ndugai alikataa waziwazi nchi yetu kuwa ombaomba.
Alikuwa hana choice zaidi ya kupitisha, usimpe sifa asiyostahili
 
Yote kwa yote hizi hubaki kama simlizi kwa wajukuu

Kunwa kushinda yote, Mungu keshatwaa kama alivyotoa
 
Siyo nia mbaya bali kwa kuwakumbusha wanadamu kuwa "tuishi maisha humble" kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa. Tuwataje waliopitia maamuzi mabovu ya Job NDUGAI alipokuwa Spika wa Bunge;:

1. Chilongani alipigwa fimbo akazimia kwenye kura za maoni za CCM mwaka 2015

2. John Mnyika (CHADEMA) alitolewa kama mbwa bungeni kwenye vikao vya 2015-20
View attachment 3434914
3. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

4. Aliponda waalmu kugombea ubunge
View attachment 3434929
4. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19
View attachment 3434931

Ongeza na wewe unayoikumbuka
Tumuache apumzike kwa amani. Maisha yetu kila mtu ana drama zake
 
Siyo nia mbaya bali kwa kuwakumbusha wanadamu kuwa "tuishi maisha humble" kwa kuwa hatujui siku wala saa ya kutwaliwa. Tuwataje waliopitia maamuzi mabovu ya Job NDUGAI alipokuwa Spika wa Bunge;:

1. Chilongani alipigwa fimbo akazimia kwenye kura za maoni za CCM mwaka 2015

2. John Mnyika (CHADEMA) alitolewa kama mbwa bungeni kwenye vikao vya 2015-20

View attachment 3434914
3. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19

4. Aliponda waalmu kugombea ubunge
View attachment 3434929
4. Kukataa kumlipia Tundu Lissu matibabu kisha kumnyang'anya ubunge wa Ikungi, mwaka 2017-19
View attachment 3434931

Ongeza na wewe unayoikumbuka
IMG-20250806-WA0096.jpg
 
Back
Top Bottom