Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

CHAMVIGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
7,687
Reaction score
2,240
Jembe letu hili litakuwepo tena mjengoni panapo majaliwa huku wabaya wake wengi wakiwa hawajui hatima yao.

Wabunge weng wa Chadema hawajui hatima yao huku wafuata upepo wa Mbowe kina Wenje, Nyerere, Haines Kiwia, n.k wakiwa wameshapigwa chini.
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde

Chadema walimfukuza wakidhani ndio mwisho wake.
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde

mkuu unalalama mbaya tena ukiwa na uhaba wa taarifa. machali alikuwa na ZZK ACT ila mambo hayajamwendea vyema

kafulila alileta jeuri na kuhisi atatoboa alone maana ameshakuwa famous

unataka ushindi alafu unamzingua messi/CR 7 wa siasa hakuna jinsi watulie tu. japo nawakubali sana.
 
mkuu unalalama mbaya tena ukiwa na uhaba wa taarifa. machali alikuwa na ZZK ACT ila mambo hayajamwendea vyema

kafulila alileta jeuri na kuhisi atatoboa alone maana ameshakuwa famous

unataka ushindi alafu unamzingua messi/CR 7 wa siasa hakuna jinsi watulie tu. japo nawakubali sana.

Wangeungana na Zitto leo ingekuwa habari nyingine.
 
Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.
 
Chadema walimfukuza wakidhani ndio mwisho wake.
Msaliti huyu yupo too local huko kwao? Majidai yote ya kwamba wamekuwa chama cha pili kusimamisha wagombea nchi sasa wamevuna nini? Kama wamekuwa wa pili kuwa na uwingi wa kusimamisha wagombea, jee wamepata asilia ngapi ya ubunge ya hao waliowasimimisha? Tuseme wamesimamisha 200 na wamepata kiti kimoja. Wamepata 0.5% (1/200x 100) ya ubunge ya viti walivyosimisha wabunge. Very poor performance. Wamekuwa local huko kwao. Mama Anna ahame chama ACT siyo saizi yake.
 
Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.

Chuki zako zitakuua bure.
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde

Nilijua tu kigoma zito kaenda wapa ccm kura umoja ni nguvu.
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde


chuki hizo mkuu...mtatafuta kila sababu na kila justification!!

kafulila vipi? yaani kuna vitu unasema dhahiri unamkubali zitto

mlimfukuza cdm kwa dharau na kejeli nyingi

leo mtu mzima unaanza kusema 'unge' 'tunge' you seem you are clever than mbowe


slaa naye vipi?? yuko wapi?
 
mkuu unalalama mbaya tena ukiwa na uhaba wa taarifa. machali alikuwa na ZZK ACT ila mambo hayajamwendea vyema

kafulila alileta jeuri na kuhisi atatoboa alone maana ameshakuwa famous

unataka ushindi alafu unamzingua messi/CR 7 wa siasa hakuna jinsi watulie tu. japo nawakubali sana.

ile ya hukuna namna unaweza shinda kigoma bila act imekuwaje....huyo wa cdm imekuaje
 
zito hana hamu ...act ..kiti kimoja tu ..alijifanya mfalme wa kigoma ..zito umoja ni nguvu ndugu.....mmegawa kura kwa ccm bila sababu ya msingi kisa uroho wa majimbo kama ungeamua kuwaunga mkono wenzako akina kafulila mkosamali na machali mngeshinda majimbo mengi mnoo......yaani kujitapa kote kule mmetoka ngoma droo na chadema ...chadema buyungu zito kigoma mjini ..hata ushawishi wa jimbo la kigoma kaskazini pia umemshinda kushawishi act ishinde

Mfalme huyoooo
 
Msaliti huyu yupo too local huko kwao? Majidai yote ya kwamba wamekuwa chama cha pili kusimamisha wagombea nchi sasa wamevuna nini? Kama wamekuwa wa pili kuwa na uwingi wa kusimamisha wagombea, jee wamepata asilia ngapi ya ubunge ya hao waliowasimimisha? Tuseme wamesimamisha 200 na wamepata kiti kimoja. Wamepata 0.5% (1/200x 100) ya ubunge ya viti walivyosimisha wabunge. Very poor performance. Wamekuwa local huko kwao. Mama Anna ahame chama ACT siyo saizi yake.

Wametangaza chama chao. Wewe kwa uoni wako mdogo huwezi jua hilo.
 
zito anakubalika ila asingegombea kigoma angeenda na maji ila tunamuhitaji sana huyu jamaaa coz anajua kupambana ana wezi wa fisiem
 
Acha mambo ya ajabu ww.
Zitto mnafiki sana, kamdanganya Anna badala ya kuwania Ubunge hata jimbo 1 Kigoma eti akamudanganya awanie Urais wa JMT huku akimtelekeza wakati wote wa Kampeni.


pole mkuu

Anna kakitangaza chama cha ACT kuliko ACT ingejitangaza kwa njia yoyote ile

imagine majimbo kama moshi mjini Anna anapata kura 634

strategy ilikuwa kukitangaza na kukikuza chama

Anna atabaki true icon ambaye kawaburuza wengine wote kwa hoja na sera dhahiri akiongozwa na uadilifu pasi chembe ya rushwa wala doa!

grow up!
 
Back
Top Bottom