Waliokuwa watuhumiwa, warasmishwe kuwa Walinzi Chadema

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,823
35,828
Makomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.

Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.

Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.

IMG_20220304_203227_555.jpg


Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.

Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!

Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.

Nani kama makomando hawa?

Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
 
Daah...jamaa wamenyooshwa na kina mahita..
Anyway acha maisha yaendelee
God is good all the time..
 
Makomando hawa walionyanyasika bila ya kutetereka na Mh. Mbowe, ni wakati wa kuutambua mchango wao usio kifani na kuwalipa ipasavyo.

Walinyanyasika na kuhukumiwa wakiwa kwenye harakati zao kujipatia ajira (VIP Protection). Na wapewe ajira hizo sasa.

Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.

View attachment 2138932

Makomando hawa waliamini katika haki, wameishi katika haki na kudumu katika haki.

Kwa hakika vita vilivyo vizuri wamevipiga na hatimaye mwendo wameumaliza wakiwa washindi!

Hawa watu ni mashujaa wenye kuweza kuaminika kuwalinda viongozi wetu salama pasipokuwa na shaka, wakiwamo kina Mh. Lissu walio njiani kurejea nyumbani karibuni.

Nani kama makomando hawa?

Yuko wapi Moses Lijenje? Yuko wapi mzee Kakobe?
Mohammed Ling'wenya, Adam Kasekwa, Khalfan Bwire bila kumsahau Komando Mhina na wenzao wamejipambanua kuwa ni wazalendo kweli kweli.
 
Dah!...wahusika wa huo uhalifu bado wapo uraiani tu?....hii dhambi itawatafuna...

Si uraiani tu. Wangalipo maofisini wakijinasibu kutolala kwa uzalendo wao ati wakihakikisha usalama wetu.

Hiiiiii bagosha!
 
Aliuwawa Kwa risasi wakiwa mahabusu ya tazara April 2021

Wawajibishwe wote waliohusika na dhuluma isiyokuwa na kifani kwa Moses Lijenje. Ikawe fundisho kwao na wasiojulikana wenzao leo na hata milele.
 
Back
Top Bottom