Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 63,242
- 106,669
Roho ni nini?Umeongelea mwili ila Roho haifi
Ng'ombe, Mbuzi na Kuku wana roho ?
Roho ni nini?Umeongelea mwili ila Roho haifi
Roho ni nini? Kwa nini haifi ? Ulijuaje au una uthibitisho gani haifi?Roho haifi , mwili ni kama housing tu linzimwa basi tena linaoza kabisa.
Swali kama hili ulipomuuliza "Ulijuaje" hapo umepiga penyewe haswaRoho ni nini? Kwa nini haifi ? Ulijuaje au una uthibitisho gani haifi?
Hawapo mkuu ,wengi ni MATAPELI wanaigiza miujiza.Kwahiyo hawapo
Hakika katika hili una hoja,Hakika. Ijapokuwa embu fikiria huu mfano mdogo ukiwa umelala in a dreamless night, assume umelala saa 4 usiku ukashtuka saa 11 alfajiri, unakuwa hujui what happens hapa katikati kuanzia saa 5 hadi saa 10, sasa usingizi ni kama nusu ya Kifo tu , so ina make sense kusema ukifa inakuwa ni eternal sleep without any thoughts, imagination or any feeling..
Just think about it
SoftwareRoho ni nini? Kwa nini haifi ? Ulijuaje au una uthibitisho gani haifi?
Binadamu pekee ndiye aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu, akiwa na akili za utendakazi wa kiroho, dhamiri, na uwezo wa kuwajibika kwa matendo yake mbele ya Chanzo/Mungu.Roho ni nini?
Ng'ombe, Mbuzi na Kuku wana roho ?
Vipi kuhusu wanaozaliwa na ukichaa au mtindio wa ubongo?Binadamu pekee ndiye aliyeumbwa kwa mfano wa Mungu, akiwa na akili za utendakazi wa kiroho, dhamiri, na uwezo wa kuwajibika kwa matendo yake mbele ya Chanzo/Mungu.
Wanyama hawana utashi wa ukamilifu kama binadamu wakifa wamekufa wewe una utashi wa kutawala , (ufahamu)akili ya kutenda haki au dhambi.