Umeongelea mwili ila Roho haifiHakuna walipokwenda, the moment wanakufa ndo inakuwa mwisho wao, hakuna kinachoendelea, utambuzi wao, maarifa yao, na Kila kitu kinaishia hapo, kinachofuata ni kuzikwa and then decomposition inachukua nafasi na kinachofuata ni all element kurudi kwenye udongo na kurutubisha mengine, kiufupi hakuna tena maisha baada ya Kifo, inakuwa kama vile kipindi hujazaliwa, hukuwepo na Wala haikukuumiza Wala kukushughulisha, na ndiyo hivyo baada ya kufa, inakuwa ndo mwisho wa uwepo wako, hakuna mbingu Wala moto wa milele, it's just the end of you, the end of your existence
Kuna madai kwamba wengine wanakufa halafu wanarudi kama misukule au wanarudi kama walivyo kuwa awali... what is your comment!Hakuna maisha baada ya kifo , ukifa umemaliza yote yakupasayo kwahiyo asitokee mtu akakudanganya etii kuna sehemu wanakwenda , hakuna bali wanaoza nakubakia mifupa mitupu.
Ok!!!Umeongelea mwili ila Roho haifi
Haya mambo ya Roho ni myth tuUmeongelea mwili ila Roho haifi
Asili ya mwili ni duniani na Asili ya roho ni source / chanzo au Mungu kama ilivyo kwa malaika au majini zote hizo ni rohoOk!!!
Roho inaenda wapi kama haifi...
Wewe ni roho inayoishi kwenye uo mwiliHaya mambo ya Roho ni myth tu
Yote kwa yote hakuna mwenye uhakika mpaka pale tutakapokufa ndo tutajua what's on the other side, ila kwa sasa ni just speculation.Wewe ni roho inayoishi kwenye uo mwili
Tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU! kinacho tufanya tufanane na MUNGU ni kipi?Asili ya mwili ni duniani na Asili ya roho ni source / chanzo au Mungu kama ilivyo kwa malaika au majini zote hizo ni roho
Be you find the truth ! You are just a spiritYote kwa yote hakuna mwenye uhakika mpaka pale tutakapokufa ndo tutajua what's on the other side, ila kwa sasa ni just speculation.
Roho inapatikana wapi sehemu ya mwili...Roho ni energy, energy can neither created nor destroyed, it change from one form to another
Let's wait and see, death is inevitable anyway, we will find out if spirit do exist and if there is continuation of life in another realm, but for now I see 💀 as the cessation of all life form, the cessation of existence, the end of you, the same as the time before someone birthBe you find the truth ! You are just a spirit
Roho ,Mungu ni roho kamiliTumeumbwa kwa mfano wa MUNGU! kinacho tufanya tufanane na MUNGU ni kipi?
Nao wamwabuduo MUNGU imewapasa wamwabudu katika ROHO na kweli...Roho ,Mungu ni roho kamili