Waliokufa wamekwenda wapi??

Waliokufa wamekwenda wapi??

Roho inapatikana wapi sehemu ya mwili...
Roho ni kiini cha uzima kinachoenea mwilini kote ,Mambo ya Walawi 17:11 Moyo unaposukuma damu, unatawanya uzima mwilini kote. Moyo ukisimama, uzima (roho) huondoka.
 
Tatizo hakuna aliyefariki akarudi kuja kusimulia kinachoendelea baada ya kifo.
 
Roho ni kiini cha uzima kinachoenea mwilini kote ,Mambo ya Walawi 17:11 Moyo unaposukuma damu, unatawanya uzima mwilini kote. Moyo ukisimama, uzima (roho) huondoka.
Mpende BWANA MUNGU wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote.....

Nini maana ya
AKILI
ROHO
MOYO katika fungu hili.
 
Nao wamwabuduo MUNGU imewapasa wamwabudu katika ROHO na kweli...
Yani kumwabudu au kumsifu Mungu ni jambo kubwa sana na si lazima uende kanisani waweza sifu kwa kutizama ,anga,milima,bahari, miti ,watu ,hewa,radi ,nyota n.k ukiweza kumtambua Mungu kwenye hivi vitu na kumpa sifa utajifunza mambo mengi sana
 
Yani kumwabudu au kumsifu Mungu ni jambo kubwa sana na si lazima uende kanisani waweza sifu kwa kutizama ,anga,milima,bahari, miti ,watu ,hewa,radi ,nyota n.k ukiweza kumtambua Mungu kwenye hivi vitu na kumpa sifa utajifunza mambo mengi sana
Mimi nadhani ni kutumia mda mwingi katika kumeditate maana hata YESU, mda mwingi akikuwa anashinda milimani unique..
 
Kwani umeme ukikatika unaenda wapi?

UKilala usingizi unaenda wapi?

Ukijibu haya utajua ukifa inakuaje.
 
Mpende BWANA MUNGU wako kwa moyo wako wote, kwa roho yako yote, kwa akili zako zote.....

Nini maana ya
AKILI
ROHO
MOYO katika fungu hili.
Akili= Sehemu ya utambuzi na kufanya maamuzi na kutambua baya na jema na kufanya jambo kwa busara.
Roho= Sehemu ya kiungu na uzima katika mwili inakuwezesha wewe kuwasiliana na Mungu kiroho.
Moyo=Sehemu ya hisia ,nia ,upendo, tamaa na utashi.
Sasa Psalm_23 tumia vyote hivyo kwakuwa vyote ndivyo vinatoa ukamilifu wa binadamu kumpenda Mungu
 
Ukifa ndiyo maisha yameishia hapo.kikubwa tufanye mambo makubwa ambayo yatatufanya vizazi vitukumbuke kupitia hayo mambo makubwa.usipofanya makubwa hapa duniani utasahaulika haraka sana.
 
Some things are better explained with experience, death being among them
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom