Waliojiondoa CUF waanzisha chama kipya ADC

huko mbele wagombea binafsi wakiruhusiwa utasema hivyohivyo wazuiwe maana kutakuwa na utitiri wa wagombea binafsi? hii ndiyo demokrasia mkuu...!




Katika mapendekezo ya katiba itabidi kuwepo na vyama vitatu tu na wagombea binafsi
 
Ushauri wangu waiogope dhambi ya ubaguzi wa dini kabila ubara na uvisiwa.

Na ndio dhambi iliyowaua kaka zao CUF, wabadilike tunahitaji vyama vya siasa sio CUF cha dini. Halafu kama mtaji wao utakuwa ZNZ wamefulia ni watu mil 1 vyama vinne hahahah.
 
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?

acha uoga kaka,demokrasia haiwezi kukua kwa vyama viwili tu,kongo kuna vyama 600! kenya 54! tanzania kumi na tisa mnalia!
 
Waliokuwa wanachama wa CUF akiwemo Hamadi Rashidi, leo wameenda kwa msajili wa vyama
ili kuzindua chama chao kipya ambacho kitaitwa ADC.
Pia wamedai CUF imeshakufa bado kuzikwa.

Swali langu ni kwanini wasijiunge na vyama vingine kuliko kuwa na vyama utitiri?
 
Hatimaye waliojiengu cuf wameanzisha chama kipya kinaitwa Alliance for Democratic change (ADC). Wamewasilisha maombi ya isajili Wa muda.

Source Channel 10
 
Hiki nacho nadhani kimezaliwa na umautiwake! Kimekuja kishari kama ccj! Eti wana t-shirts zimeandikwa "Anti Virus! Ccj ilikuja kwa mbwembwe hivihivi!
 
Kisiwe km baadhi ya vyama tulivyonavyo,kiwe kwa maslahi ya wananchi.Pia wanaohamia huko ni vema wakachunguzwa kama si mamluki maana chaweza kufa kibudu. Kuna baadhi ya watu wakihamia chama chochote wao wanataka UONGOZI hata kama wanachama hawawataki na hapo ndy vurugu hutoke mwisho chama kufa. Ila nafasi ipo ya kutosha tutajua chama ni cha mrengo gani?Kama kweli kwaajili ya wananchi au watu wachache!
 
Ngoja tuwasikie mlengo wao ni upi na changamoto wanazo taka kuzileta

CCK kimesajiliwa juzi hatusikii nini wanalenga kukifanya wapo kimya tu
 
Waliokuwa wanachama wa CUF akiwemo Hamadi Rashidi, leo wameenda kwa msajili wa vyama
ili kuzindua chama chao kipya ambacho kitaitwa ADC.
Pia wamedai CUF imeshakufa bado kuzikwa.

Swali langu ni kwanini wasijiunge na vyama vingine kuliko kuwa na vyama utitiri?
sawa,tunasubiri tuone mwanzo wa mwisho wao.yetu macho na masikio.
 
Back
Top Bottom