alliance for demolition of cufalliance for democratic change......dira ya mabadiliko.
More to come......
alliance for demolition of cufalliance for democratic change......dira ya mabadiliko.
More to come......
kheri ADC, hivi wadau huku ni kupanuka kwa demokrasia ama kunyambulika kwa upinzania?
ni kweliInategemea mtazamo wako demokrasia inamaanisha nini? Ni kuwa mpinzani huru au kibaraka wa CCM
Chama
Gongo la Mboto DSM
Kwa jina hilo hakitapata popularity kwa wananchi.Gumu sana!
Hili ni jibu au swali?na hiki ni cha kiislam?
Tatizo unaukumbatia UDINI wa CHADEMA, chama pekee kinachoongozwa na PADRI na kujifanya hupendi udini kwa wengine! Kama mmeamua kuikumbatia CHADEMA ni haki yenu, waache wengine waende DINI nyingine na vyama vingine!Chama kilekile, chenye malengo yale yale, na wafuasi walewe waliotoka kwenye chama kilekile . Udini utatumaliza Tanzania
Hamadi Rashid huwezi kuleta mabadiliko yeyote! Unawahadaa wenye njaa tu! Wewe mwenyewe ni kibaraka unayejulikana na kila mtu!Alliance for Democratic Change......Dira ya Mabadiliko.
More to come......
Naomba nijuze kirefu cha ADC mkuu!
Kumbe wewe unatazama kiongozi mmoja ndani ya Chadema ndo unaconclude Udini? Ndo mnavyofundishwa misikitini? Sasa kama Slaa tu ndio sababu ya wewe kuwaita Chadema wadini, vipi ma alhaji waliorudikana CUF na kwenye hiki chama kipya cha Agenda to Demolish Christianity?Tatizo unaukumbatia UDINI wa CHADEMA, chama pekee kinachoongozwa na PADRI na kujifanya hupendi udini kwa wengine! Kama mmeamua kuikumbatia CHADEMA ni haki yenu, waache wengine waende DINI nyingine na vyama vingine!
Narrow minded! Mchungaji Msigwa?! Achana na majina, kila mtu hata chizi anajua CHADEMA inabebwa na kanisa! Accept the facts and let us move on!Kumbe wewe unatazama kiongozi mmoja ndani ya Chadema ndo unaconclude Udini? Ndo mnavyofundishwa misikitini? Sasa kama Slaa tu ndio sababu ya wewe kuwaita Chadema wadini, vipi ma alhaji waliorudikana CUF na kwenye hiki chama kipya cha Agenda to Demolish Christianity?
hamad rashid yupo nyuma ya pazia.
Narrow minded! Mchungaji Msigwa?! Achana na majina, kila mtu hata chizi anajua CHADEMA inabebwa na kanisa! Accept the facts and let us move on!
alliance for demolition of cuf
akipigiwa chapuo na baadhi ya waislam majinuni
Ngoja tuwasikie mlengo wao ni upi na changamoto wanazo taka kuzileta
CCK kimesajiliwa juzi hatusikii nini wanalenga kukifanya wapo kimya tu
Una akili kama za Jusa wewe.
Agenda to Demolish Christianity
CUF ni ChukiUbinafsi(kama c Udini) na Fitna.....4this U dont need any help in destructing such organisation....its a one man institute, hivyo wasafi hawawezi kukaa eneo kama hilo. Ndio maana leo kuna ADC.
ADC - Dira ya Mabadiliko.
Lisemwalo lipo, Leo hii wafuasi waliotoka CUf wamewasilisha ombi la kusajili chama kipya kiitwacho ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE kifupi ADC.
Source: Magic Radio