Waliojiondoa CUF waanzisha chama kipya ADC

Waliojiondoa CUF waanzisha chama kipya ADC

Wanatuongezea vyama vinavyotumia kodi zetu badala ya kuongeza utendaji serikalini
 
Hatimae CCM yapata mjukuuuuuuuuu
Matokeo ya ndoa takatifu!!!!!! stay tuned by 2015 kutakuwa na vitukuu pia hahahhahah! chama chetu cha mapindowazi chakuza ukoo oops nchi x3 chorus
 
alliance for demolition cuf
1.jpg

12.jpg

small-img_6627.jpg

hamad rashid kuzungukwa na hao wa manjano inaashiria nini?
 
Ha ha ha ha ha ha. Sijui na rhesus factor ya mtoto ikoje hapo. Kama ya mzazi mmoja ni Rh+ na mwingine Rh- hakika mtoto hataishi; ni lazima atakufa. Tusubiri tuone.

Dah wana-JF bana...Hii si ndio ile kitu wataalamu wanaita Erythroblastis fetalis (Rh Incompatibility)
 
Mwenyekiti wa muda wa Chama kipya cha siasa cha Alliance For Democratic Change (ADC), Said Miraji (kushoto), akimkabidhi rasimu ya katiba ya chama hicho, Mwangalizi wa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Galasia Chawene, wakipokwenda kuomba usajili wa muda Dar es Salaam jana. Katikati ni Katibu wa muda wa chama hicho, Kadawi Limbu.
844758448.jpg


908395688.jpg


Hapa Sugu ameliwa. lol

611707973.JPG
 
kheri ADC, hivi wadau huku ni kupanuka kwa demokrasia ama kunyambulika kwa upinzania?
 
Sijaona Chama cha kupambana na CCM! Vilivyoanza juzi, jana, leo hata kesho. Ukweli utabaki palepale kuwa hao ni waroho wa madaraka na kutaka kujilimbikizia mali tu. Hamna kitu hapo. :lol: Hiyo ni namna ya kuweweseka. :smow:
 
Ha ha ha ha ha ha. Sijui na rhesus factor ya mtoto ikoje hapo. Kama ya mzazi mmoja ni Rh+ na mwingine Rh- hakika mtoto hataishi; ni lazima atakufa. Tusubiri tuone.
Anaweza kuishi kwa sababu CCM itamlea mwanawe wa kufikia.
 
mwenyekiti wa muda wa chama kipya cha siasa cha alliance for democratic change (adc), said miraji (kushoto), akimkabidhi rasimu ya katiba ya chama hicho, mwangalizi wa ofisi ya msajili wa vyama vya siasa, galasia chawene, wakipokwenda kuomba usajili wa muda dar es salaam jana. Katikati ni katibu wa muda wa chama hicho, kadawi limbu.
844758448.jpg


908395688.jpg


hapa sugu ameliwa. Lol

611707973.jpg
ninawafahamu hawa wote wezi wezi sana na watu wa mishen town.wanaishi kwa nguvu ya fedha ya hamadi rashid siku zikiisha hauwaoni tena.masikini tanzania ccm wataendelea kutuchezea michezo ya ajabu mpaka lini?shem on them.ila na msikitikia mzee wangu limbu kaingizwa choo cha kike bila kujijua.akishtuka tayari mlango wa choo ushafungwa.pole sana mzee wangu nikutakie safari njema.
 
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?

Yaelekea hata uelewi maana ya demokrasia. Wajiungeje na chama ambacho sera zake haziendani na maono yao?
 
Alliance for Democratic Change......Dira ya Maendeleo.
More to come......
 
Back
Top Bottom