Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
Agenda to Demolish Christianity
Huu sasa ni upotoshaji, ni bora tungewaacha waendelee kwanza tuone wanaishia wapi.
Agenda to Demolish Christianity
Mkuu hivi Mh. Hamad akishinda kesi na kuendelea kuwa mbunge wa mahakama ADC itakuwaje without him?:juggle:
Lisemwalo lipo, Leo hii wafuasi waliotoka CUf wamewasilisha ombi la kusajili chama kipya kiitwacho ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE kifupi ADC.
Source: Magic Radio
CUF na CCM ni mwili mmoja,kumbuka hawa ni wana ndoa.Mke akifa kwa ngoma mume hawezi epuka kifo.
Hawa jamaa kumbe walikuwa wanataka madaraka tu, kama kweli walikuwa wanataka kwenda upinzani vyama vipo vingi, inamaana hawajaona chama makini cha kuamia mpaka waanzishe chama chao.