Waliojiondoa CUF waanzisha chama kipya ADC

Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?
 
ALLIANCE FOR DEMOLITION CUF
1.JPG

12.jpg

small-IMG_6627.JPG
 
Bendera yao ina rangi nyekundu?
SORRY, NI BARA AU ZANZIBAR?
AU KUNA UDINI?
SIDHANI KAMA KUNA JIPYA HAPO.
 
Nafikiri ni wale wale tatizo ni kutaka madaraka. Na siyo kubadilisha sera.

HAKUNA JIPYA HAPO


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Hv vyama sasa vimekua kama N.g.o.s watu wanatafuta kula tu,lakini at the end vitabaki kua pumba na mchele utabaki kua mchele tu!vyama ni c.c.m na c.d.m tu,cuf walikua vizuri ila wamejiua wenyewe!
 
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?

Uanzishwaji "holela" wa vyama ni upi? Unatumia criteria gani kusema uanzishwaji wa chama kimoja ni holela na wa chama kingine si holela?
 
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?
huko mbele wagombea binafsi wakiruhusiwa utasema hivyohivyo wazuiwe maana kutakuwa na utitiri wa wagombea binafsi? hii ndiyo demokrasia mkuu...!
 
Back
Top Bottom