Lisemwalo lipo, Leo hii wafuasi waliotoka CUf wamewasilisha ombi la kusajili chama kipya kiitwacho ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE kifupi ADC.
Source: Magic Radio
Ushauri wangu waiogope dhambi ya ubaguzi wa dini kabila ubara na uvisiwa.Lisemwalo lipo, Leo hii wafuasi waliotoka CUf wamewasilisha ombi la kusajili chama kipya kiitwacho ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE kifupi ADC.Source: Magic Radio
Hatimae CCM yapata mjukuuuuuuuuuLisemwalo lipo, Leo hii wafuasi waliotoka CUf wamewasilisha ombi la kusajili chama kipya kiitwacho ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE kifupi ADC.
Source: Magic Radio
Acha ni baki na chadema yangu..........ALLIANCE FOR DEMOLITION CUF
Bendera yao ina rangi nyekundu?
SORRY, NI BARA AU ZANZIBAR?
AU KUNA UDINI?
SIDHANI KAMA KUNA JIPYA HAPO.
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?
Hatimae CCM yapata mjukuuuuuuuuu
huko mbele wagombea binafsi wakiruhusiwa utasema hivyohivyo wazuiwe maana kutakuwa na utitiri wa wagombea binafsi? hii ndiyo demokrasia mkuu...!Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?