Silent Burner
Member
- Feb 25, 2012
- 92
- 30
Huu ****** wa kila mtu kuanzisha chama chake,imekuwa fasheni sasa ifike mahara msajili wa vyama vya siasa,awe anakataa uanzishwaji holela wa vyama,tutajikuta tuna utitiri wa vyama ambavyo havina tija kwa Taifa,ni kwa nini wasijiunge na vyama vingine?
Hii ndo demokrasia ya vyama vingi. DRC kuna vyama vya siasa zaidi ya 480.