Kwa nini hakuja afe msalabani siku ya mwisho wa dunia kabisa ili watu walioishi duniani wasamehewe kwa pamoja bila kuhitajika kumuamini? Maana wale walioishi kabla yake wao wataingia mbinguni kwa mtelezo/kitonga sana kuliko walioishi baada yake waliolazimika kumuamini.Hao dhambi zao zimesamehewa pale msalabani.
Kwa nini hakuja afe siku za mwisho wa dunia kabisa ili alipe deni la dhambi la watu wote duniani na waokolewe bila kuhitajika kumuamini kama hao wengine ?Hapana mkuu!
Kwa upande wa ukristo!
YESU alikuwa anawakilishwa na dhabihu za wanyama, ambapo mtu akitenda dhambi alitakiwa kutoa kafara ya mnyama!
kwa sababu mshahara wa dhambi ni mauti, kwa hiyo mnyama ndiye alichukua hatia ya dhambi na kufa!!
Baada ya YESU kuja ndiye alilipa deni la dhambi, kwa hiyo kila mwanadamu anaye mwamini, atasamehewe kupitia kumwamini YESU!
Manabii waliokuwepo kabla habari zao ziliishia mashariki ya kati tu tena sehemu ndogo sana. Hakukuwa na TV, radio, simu na magazeti ya kufikia watu wote mpaka huku Sub-Sahara Africa, China, India, Ulaya, Marekani Kusini na Kaskazini.Kabla ya wao kulikua na manabii kwa upande wa uislam Muhammad ndo wa mwisho hakutakuja Mtume mwengine ila kwa upande mwengine wapo hao akina mwamposa na manabii wengine.
Kama hawajapotea na wataenda mbinguni kulikuwa na haja gani ya Yesu Kristo kuja kufa kwa ajili ya dhambi za binadamu na Muhammad kuja na Quran yake ?
Maisha si yangeweza kuendelea tu kama kawaida bila wao?!
Asante!!! baada ya dhambi kuingia shetani aliwafanya wanadamu waende against na MUNGU.Kwa nini hakuja siku za mwisho wa dunia kabisa ili alipe deni la dhambi la watu wote duniani na waokolewe bila kuhitajika kumuamini ?
Manabi waliokuwepo kabla habari zao ziliishia mashariki ya kati tu tena sehemu ndogo sana. Hakukuwa na TV, radio, simu na magazeti ya kufikia watu wote mpaka huku Sub-Sahara Africa, China, India, Ulaya, Marekani Kusini na Kaskazini.
Utumwa ulioenezwa na dini za Mashariki ya kati sio ustaarabu,Acha zako kule ndipo ustaarabu umeanzia , wazungu hawana historia ni watoto wa juzi ..Ukiinza hata uingereza ni ya juzi hapa tena baada ya kuanzishwa kwa Aglican , kule USA walikuwa jamii kama red indian .
Katika uislamu , unatumbua kipind cha ujahili(watu kabla ya kustaarabik) , uislamu unaenda mbali kwa kuonyesha watu walifikiwa na ujumbe kwa wale ambao hakuwafikiwa basi hawana kosa . Dini ni ustaarbu ndiyo maana kulikuwa na muendelezo wa manabii kuja kuwajuza watu ...America , Europe za juzi tu kihistoria kama mwafrika, wengi wamepata nguvu kipind cha utumwa na mapinduzi ya viwanda .
Kuna manabii walishushwa kw ajili ya kulingania sehem ndogo tu na sio kwa ulimwengu wote sio ni Mtume Muhammad pekee ndo alitumwa kulingania kwa ajili ya ulimwengu mzima.Manabii waliokuwepo kabla habari zao ziliishia mashariki ya kati tu tena sehemu ndogo sana. Hakukuwa na TV, radio, simu na magazeti ya kufikia watu wote mpaka huku Sub-Sahara Africa, China, India, Ulaya, Marekani Kusini na Kaskazini.
Nipe jina la nabii mmoja aliyetumwa kulingania sehemu yoyote ya Africa Mashariki kabla ya Muhammad na Yesu kuja duniani.Kuna manabii walishushwa kw ajili ya kulingania sehem ndogo tu na sio kwa ulimwengu wote sio ni Mtume Muhammad pekee ndo alitumwa kulingania kwa ajili ya ulimwengu mzima.
Kwa logic ya elimu ya kidunia, upo sahihi. Lakini kwa Mungu hakuna kinachoshindikana. Wanafunzi wa Yesu siku moja walimshangaa wakasema "huyu ni nani hata pepo zinamtii?", ilikuwa wakati wa dhoruba baharini huku Yesu amelala.Itakuwa vigumu kila hicho kumuona kwa sababu katika kila wakati nusu ya dunia ni mchana na nusu ya dunia ni usiku watu wamelala.
Dini ipi imeeneza utumwa ? Hakuna dini ambayo imeenzea utumwa bali jamii ilikuwa katika enzi za utumwa , mitume ilikuwa dhalili . Nitajie mtume mmoja aliyekuwa ana miliki watumwa ?Utumwa ulioenezwa na dini za Mashariki ya kati sio ustaarabu,
Vita vilivyotokana na dini za Mashariki ya kati sio ustaarabu.
Ubaguzi uliotokana na dini za Mashariki ya kati sio ustaarabu.