Genekai
R I P
- Feb 9, 2010
- 12,514
- 5,003
Kaka tushawazoea hao kulalamika wala hawatupi shida, hii nchi siasa imeingilia kila kitu. Sehemu ambapo professionals wanapaswa kutenda, anaingia mwanasiasa na siasa zake. Huu ujinga waache waupeleke kwenye shule zao za kata. Matokeo yake watajua kuwa knowledge will forever govern ignorance!!!! Huku tumeruhusu akili ndogo itawale akili kubwa!!!!!Mkuu,
Sijui kama wengi wanakuelewa hapa. Athari iliyopo ni cream ya watu wa dini moja kusonga mbele alafu upande wa dini nyingine kulalamika. Watataka utawala kuzingatia udini badala ya uwezo wa mtu kishule.
Mthian wa form two aliutoa jk, wameona athari zake baada ya miaka 2 wakaulejesha, kumbe wamerudisha kiini macho tu!