Tupe Source mkuu
Mkuu,
Sijui kama wengi wanakuelewa hapa. Athari iliyopo ni cream ya watu wa dini moja kusonga mbele alafu upande wa dini nyingine kulalamika. Watataka utawala kuzingatia udini badala ya uwezo wa mtu kishule.
Mthian wa form two aliutoa jk, wameona athari zake baada ya miaka 2 wakaulejesha, kumbe wamerudisha kiini macho tu!
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa [REMIDIAL CLASS].
Mkuu NECTA inahisika vipi na matokeo ya Kidato cha 2 na maamuzi yanayochukuliwa kuhusiana na matokeo?:cheer2::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2: ASANTE SANA NAWAPONGEZA BARAZA LA MITIHANI KWA KUJITAHIDI KADRI YA UWEZO WENU KUIBOMOA ELIMU YETU YA TANZANIAAA:majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7:
ntajie shule ya kiislam hata moja ambayo mkristo unaweza tia mgùu. nenda MUM kaone miujiza pale.
matokeo mbona sijayasikia kutangazwa?