Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

Waliofeli Kidato cha Pili kuendelea na Masomo

ujinga wa nani sasa?

Hawawezi kutupeleka kama punda. Aliefeli anapaswa aidha kurudia au aswage home haya mambo ya kujaza shule wanafunzi makopo ndio hupelekea hata wale wachache wenye uwezo kupotea katika mkumbo wa wajinga.
 
Hawawezi kutupeleka kama punda. Aliefeli anapaswa aidha kurudia au aswage home haya mambo ya kujaza shule wanafunzi makopo ndio hupelekea hata wale wachache wenye uwezo kupotea katika mkumbo wa wajinga.

sasa wewe una tofauti gani na punda?
 
Mulugo hajarudi kama Naibu Waziri kaondolewa katika baraza jipya lilitangazwa jana 19/01/2014.Nafasi yake kapewa Jenister Mhagama.KWA KWELU HUU NI UBABAISHAJI WA HALI YA JUU KUPELEKA MBELE WANAFUNZI KISIASA ILI KUFURAHISHA WAZAZI NA WALEZI.!!!!KWANINI WASIKARIRI NA NDIPO MATOKEO YA KIDATO CHA NNE YATAKUWA NAFUU KIDOGO.KWELI NCHI HAINA DIRA KWA VIONGOZI HAWA DHAIFU GODAMN.
 
Tatizo hapa hakuna walimu wenye uwezo na moyo wa kufundisha pia serikari haijali maslahi ya walimu !
 
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa [REMIDIAL CLASS].

Jaman km kuna jina baya ukiacha lile la "kichwa cha mwendawazimu" tz tunastahil kupewa maana ipo mwaka m2 yupo chuo kikuu hajui hata kuandika propozo ya kiingerza hy weeeeeee BRN matokeo makubwa ss
 
hiyo ndio ccm chama cha kiswahili ..kwao elimu dunia haina maana sana.Wanchohitaji wao ni kuwahishana juu..

Ndio maana watu wengine hawapendi sana takwimu kwani zinatumika vibaya sana.
 
Back
Top Bottom