samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 360
jamani tanzania yangu wengine waiweka mifukoni mwao et yao, wakilala na wakezao wanawashauri wafanye nini juu ya sisi na nchi yetu. eeh muumba shusha mikono yako.
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa[REMIDIAL CLASS].
Mkuu,
Sijui kama wengi wanakuelewa hapa. Athari iliyopo ni cream ya watu wa dini moja kusonga mbele alafu upande wa dini nyingine kulalamika. Watataka utawala kuzingatia udini badala ya uwezo wa mtu kishule.
Mthian wa form two aliutoa jk, wameona athari zake baada ya miaka 2 wakaulejesha, kumbe wamerudisha kiini macho tu!
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa[REMIDIAL CLASS].
matokeo mbona sijayasikia kutangazwa?
viongozi watakuwa mbweha sasa!
Serikali imeagiza wanafunzi waliofanya Mtihani wa Kidato cha Pili mwaka 2013 na kushindwa,waendelee na masomo yao yaani hawatakariri wapewe Muda maalum wa kunolewa[REMIDIAL CLASS].