Waliofanikiwa kwa njia wanazozijua wao wanajiona motivational sana!

chizcom

JF-Expert Member
Jul 31, 2016
7,581
15,722
Hili swala ni zuri sana,

Ila kuna watu wanajifanya kuwa na ushawishi wa kuhamasisha kujituma ili kupata mafanikio.
Mfano wa watu hawa:
  • Forex
  • scammer
  • makahaba ya grade za juu
  • watoto wa wakubwa na matajiri
  • waliopata pesa kwa njia za madawa ya kulevya na biashara za ajabu
  • ushirikina
  • shoo off za mitandao ya kijamii
Hapa Tanzania watu wengi wanadanganywa na hizi!

Mfano mtoto wa mkubwa au tajiri anakwambia kijana usikate tamaa na kuwa mvumilivu .

Muulize wewe ulipozaliwa ulikuwa mvumilivu?
 
Aliyefanikiwa kweli Hana muda wa kum-motivate mtu kipuuzi namna iyo.

Otherwise Ukitaka kua motivated, atakumotivate juu juu TU kimasihara.
Ila kiuhalisia ukiingia kichwa kichwa lazima. Upoteane.

Ukweli Ni kwamba,
Mafanikio yanaambatana na ubinafsi na usiri mkubwa.
( Aliyefanikiwa kamwe Hataki Chaka lake la kupigia pesa ulijue)
Hii ni kupunguza washindani, wachawi, wanoko, masnitch na wavimba macho.

Ukiona umesaidiwa njia za pesa na mwenye pesa,
Jua na yeye anajua Kuna namna atafaidika na wewe kwa namna moja ama nyingine.
Iwe leo, kesho au kwa baadae.
(HUO NDO UBEPARI WENYEWE, No free lunch)

NB: SIRI YA UTAJIRI NI KUTUNZA SIRI
Ukiwa kilopolopo kamwe hutoiona Ela, na kamwe hutokua tajiri hata sikU Moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kati ya kitu kigumu duniani kilichowashinda hata maprofesa ni namna ya kupta pesa nyingi, yaani uwezo wa kuzinyakua kutoka kwenye mzunguko wake ndo maana mtu mwenye pesa haijalishi kaiba ,kazurumu,kapata kiharari mtu huyo mala nyingi huwa anaheshimikaa sanaa kwenye jamii

nimeona na mimi nitafute pesa
 
kati ya kitu kigumu duniani kilichowashinda hata maprofesa ni namna ya kupta pesa nyingi, yaani uwezo wa kuzinyakua kutoka kwenye mzunguko wake ndo maana mtu mwenye pesa haijalishi kaiba ,kazurumu,kapata kiharari mtu huyo mala nyingi huwa anaheshimikaa sanaa kwenye jamii

nimeona na mimi nitafute pesa
Maprofesa wanajua pesa za kwenye vitabu,
Uku mtaani Hali halisi Ni tofauti sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna sehemu nilienda nikakuta moja ya mtu ambae danga lake nilikua nafanya nae kazi aliitwa amotivate watu jinsi alivyofika hapo alipo, nikabaki nashngaa 😂😂😂 maana Mungu hakuachwa na hard working, saving za kutosha, sleepless night kumbe danga lake linafinace huku akitumia dini kama sababu
 
Kuna sehemu nilienda nikakuta moja ya mtu ambae danga lake nilikua nafanya nae kazi aliitwa amotivate watu jinsi alivyofika hapo alipo, nikabaki nashngaa 😂😂😂 maana Mungu hakuachwa na hard working, saving za kutosha, sleepless night kumbe danga lake linafinace huku akitumia dini kama sababu
Hujasikia kale kabinti Nana Dolls kalipohojiwa pale waclean fm kakadai kamenunua gari yake ya kwanza kakiwa chuo kwa hela ya boom na mkopo
 
Kuna sehemu nilienda nikakuta moja ya mtu ambae danga lake nilikua nafanya nae kazi aliitwa amotivate watu jinsi alivyofika hapo alipo, nikabaki nashngaa 😂😂😂 maana Mungu hakuachwa na hard working, saving za kutosha, sleepless night kumbe danga lake linafinace huku akitumia dini kama sababu
sir jeff, alisema hivi usiruhusu binadamu yeyote kujua mipango yako, mafanikio yako mfanye binadamu awe anahisia tu sikujua alimanisha nini. pesa zilizopo kwenye mzunguko ni chache kuliko watu so inabidi mgombanie kunyakuwa pesa kwenye mzunguko, sasa wote wakijua jinsi ya kuzipata unafikiri nani atamtumikia mwenzake???

watu wanazaa kila siku kwa wingi, kuliko pesa inayoongezwa na BOT kwenye mzunguko

nawashauri pendeleeni kusoma all stuffs related to personal finance , economic and finance some time huwa yanasaidia

mi siyo mchumi . naungaunga tu
 
sir jeff, alisema hivi usiruhusu binadamu yeyote kujua mipango yako, mafanikio yako mfanye binadamu awe anahisia tu sikujua alimanisha nini. pesa zilizopo kwenye mzunguko ni chache kuliko watu so inabidi mgombanie kunyakuwa pesa kwenye mzunguko, sasa wote wakijua jinsi ya kuzipata unafikiri nani atamtumikia mwenzake???

watu wanazaa kila siku kwa wingi, kuliko pesa inayoongezwa na BOT kwenye mzunguko

nawashauri pendeleeni kusoma all stuffs related to personal finance , economic and finance some time huwa yanasaidia

mi siyo mchumi . naungaunga tu
Upande wangu naona ni vyema.kukaa kimya kuliko kwenda kuongea sehemu hasa ya dini kuonesha how u are working hard na kuwaacha watu wakijiuliza wanakosea wapi, mbona kila kitu anakifanya hakiendi kumbe unaliwa kimya kimya afu unasema hulali unafnya kazi .
 
Mimi nilianza biashara kwa mtaji wa nyanya moja.
Niliinunua sh. 10 nikaiuza sh. 20. Nikaenda kununua nyanya mbili, na zenyewe nikaziuza nikapata sh. 40, nikaendelea hivyo Hadi nikanunua trekta la Swaraj
Afu aliyeiba simu ya huyu mzee Nani..?
 
Mimi na bet kila siku yenye mechi nyingi nyingi, nikiwa milionea nitawapa siri , msihofu
 
Back
Top Bottom