Waliochochea vurugu washughulikiwe

Waliochochea vurugu washughulikiwe

Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Ujinga kama huu wa kutokubali kwamba watanzania wanaweza pigania haki zao haya ndio madhara yake!! Mnawaona watanzania wamevunja Sheria kwa maandamano ambayo ni halali kisheria, mi nawashauri tu ni vzr mkae na wananchi muwasikilize hoja zao maan wamesema mpaka BBC nini wanataka!!
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Kwann tusianze na watekaji? Au wew unaonaje tutaanzaje kula kiporo Cha Leo tuache Cha juzi?
 
Serikali ina vyombo vya kufuatilia,we nyoa vaa pedi,kuna mkenya kauawa ubungo kwa risasi, social media za kenya zinaripoti
Bongo bana..hapa anaharalisha kauli ya waliotoka nje ya mkulu...lisu heche..kuna mpango wa kuwabambikia kesi

Ila mafwele hadi leo pamoja na tuhuma kibao yupo
 
Bongo bana..hapa anaharalisha kauli ya waliotoka nje ya mkulu...lisu heche..kuna mpango wa kuwabambikia kesi

Ila mafwele hadi leo pamoja na tuhuma kibao yupo
Mafwele ni tuhuma,hao jamaa zako walitenda,bila wao tusingekua hapa
 
Ujinga kama huu wa kutokubali kwamba watanzania wanaweza pigania haki zao haya ndio madhara yake!! Mnawaona watanzania wamevunja Sheria kwa maandamano ambayo ni halali kisheria, mi nawashauri tu ni vzr mkae na wananchi muwasikilize hoja zao maan wamesema mpaka BBC nini wanataka!!
Maandamano halali kisheria,unajua maana ya 'halali kisheria'?
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Na walioua wananchi wao wafanyiwe Nini ?
Ccm imejenga shule za kuongeza
wajinga na wapumbavu wasio na uwezo wa kuelewa mambo ,
Ndo maana alishauri maliza chuo kikuu halafu uende Tena veta

Mmekataliwa na watanzania mnasema ni wakenya
Kukataliwa ni kubaya sana
 
Na walioua wananchi wao wafanyiwe Nini ?
Ccm imejenga shule za kuongeza
wajinga na wapumbavu wasio na uwezo wa kuelewa mambo ,
Ndo maana alishauri maliza chuo kikuu halafu uende Tena veta

Mmekataliwa na watanzania mnasema ni wakenya
Kukataliwa ni kubaya sana
Kenyans Among Hundreds Killed in Tanzania’s Post-Election Violence - Kenyans.co.ke Kenyans Among Hundreds Killed in Tanzania’s Post-Election Violence
Mngetuliza minduku nyumbani hakuna mali ingechomwa moto wala mtu kuuawa, tatizo mnadhani hakuna serikali
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Nafikili haupo sawa kichwani, katika uchaguzi huru na haki aya yote yangetoka wapi
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Hakuna Sheria inayoruhusu askari yoyote kumpiga risasi raia ambaye Hana silaha, vurugu zozote na maandamano yoyote yanatawanywa na silaha ambazo hazihatarishi uhai wa raia.

Ni kweli Watu walioandamana walisababisha uharibifu wa mali na miundombinu na Kuna baadhi ya vikundi vya wahuni vilifanya wizi.

Lakini walichokifanya polisi hakikubaliki na ni ukatili, na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Damu za raia wote waliopoteza maisha, kwaajili ya kudai haki ziwe juu yako na vizazi vyako, juu ya polisi na juu ya Raisi Samia na vizazi vyako, Naomba haya Kwa Jina la MUNGU aliye hai Amina 🙏
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
CCM namba moja
 
Hakuna Sheria inayoruhusu askari yoyote kumpiga risasi raia ambaye Hana silaha, vurugu zozote na maandamano yoyote yanatawanywa na silaha ambazo hazihatarishi uhai wa raia.

Ni kweli Watu walioandamana walisababisha uharibifu wa mali na miundombinu na Kuna baadhi ya vikundi vya wahuni vilifanya wizi.

Lakini walichokifanya polisi hakikubaliki na ni ukatili, na ukiukwaji wa haki za binadamu.

Damu za raia wote waliopoteza maisha, kwaajili ya kudai haki ziwe juu yako na vizazi vyako, juu ya polisi na juu ya Raisi Samia na vizazi vyako, Naomba haya Kwa Jina la MUNGU aliye hai Amina 🙏
Mabomu ya machozi yangeweza kuzuwia zile vurugu ikiwa hata polisi wakiuawa?..kama yasingedhibitiwa mwisho wake ulikua nini,siyo miji yote mikubwa ingekua jivu,vifo vingapi vya polisi vingetokea, serikali isingeanguka?
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Nenda kawaambie waliokutuma kuwa, walichokiona ilikuwa trailer.

Option ni mbili
1. Katika mpya
2. Civil War

Mange is just a tool, wana weka mawazo na nini wananchi wafanye wengine hamtakuja kuwajua wala kuwasikia.

Kilichofanyika MO29 ilikuwa kuotesha na kuipandikiza Roho ya kizalendo, kurecruit jeshi jipya na kuunda viongozi wote wa hafidhina ndani ya CCM.

Sasa hivi tutawapa, tutawatafuti, tutawafundisha watu kuunda Silaha, na tutawapa Ramani magaidi wa kuja kuua Wana CCM.
 
MUNGU akulaani popote ulipo na hii naongea kutoka moyoni machozi ya hasira yakinitoka hapa muda huu. Nakuahidi hakuna binadamu ataamua hatima yako, tunakabidhisha kwa MUNGU, soon utalipia hii kitu kwa nguvu ya adhabu za mbingu iliyo juu yako saa hii.

Sauti za roho za marehemu waliokufa bila hatia kwa maumivu makali na huzuni bila msaada zikamlilie MUNGU, zitaje jina lako mara nyingi kwa siku na zikabidhishe kisasi kwa MUNGU na adhabu kali ya maumivu ya moyo ,nafsi na mwili ikuingie taratibu ikifuate ulipo ufe bila kutubu. Amen
 
Mabomu ya machozi yangeweza kuzuwia zile vurugu ikiwa hata polisi wakiuawa?..kama yasingedhibitiwa mwisho wake ulikua nini,siyo miji yote mikubwa ingekua jivu,vifo vingapi vya polisi vingetokea, serikali isingeanguka?
MUNGU atairudisha damu ya roho zote za wapigania haki juu ya wazushi na vizazi vyako🙏
 
Ndugu gallow bird

Katika kitabu cha Ihayaa Ulumiddin cha Imam Ghazal anasema; "ukitaka kutibu tatizo inabidi uwe kama daktari. Usitibu athari/matokeo ya ugonjwa bali ili kuutibu inakupasa urudi kwenye chanzo cha ugonjwa."

Hakuna ambaye anakataa kuwa maandamano yalighubikwa na vurugu. Lakini turudi kwenye asili, chanzo cha haya yote ni nini?

Raia kweli miongoni mwao walifanya makosa lakini haya yote yamesababishwa na wenye mamlaka kwa raia kuwazalishia hasira ambazo zimejaa chuki, na chuki huzalisha uharibifu.

Hivyo, ikiwa kweli kama sisi ni wapenda haki basi tuisimamie kama ilivyo, tusiwe watu wa kuchagua.
 
Palikua na maandamano mengi tu 1998-2005,Pemba 2001 waliandamana wakaua wengi,wakawa wakimbizi kenya
Huwezi kusema hatumtaki rais halafu ufanye vurugu uachwe
Kwa hiyo unahalalisha mauaji? Kwa nini msiwasikilize? Hiyo misingi unaiona ni ya haki?

Siku ya Qiyama ijapokuwa Allah ni mjuzi wa tunayoyafanya lakini bado atasikiliza waja wake kipi kilochokufanya ufanye hivi na hivi na hukumu yako uione mwenyewe.

Ibilisi laanatullahi alayhi alikataa kutii amri ya Allah, lakini Allah hakumuhukumu kabla bali alimsikiliza kwa kumuuliza kipi kilichokufanya kutotii amri yangu nilipokuamrisha. Baada ya majibu yake ndipo Allah alimuhukumu.

Misingi ya haki kabla ya kumuhukumu inakupasa umsikilize mhusika, na ndiyo hata mahakama ya Qadhi inavyofanya.

Kwa nini usitengwe muda wa kuwasikiliza hawa raia ambao kwa mtazamo wao wanaona mambo hayapo sawa kisha tujue kama ni mbivu au mbichi ndipo hukumu ipite?!
 
Back
Top Bottom