Waliochochea vurugu washughulikiwe

Waliochochea vurugu washughulikiwe

Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
Qmmmako
 
Inakupasa uifahamu lugha.

Mtume anasema: Manistaraqqa wamanistawa wapo mbali na kumtegemea Allah!

Yaani, anayetibu na anayetibiwa wapo mbali na kumtegemea Allah!

Hii ni hadithi sahihi!

Umeelewaje hayo maneno? Na unafafanuaje?

Hoja zako zinajikita kwenye masuala ya udini na unashikwa na upofu na kuchupq mipaka ya kushindwa kuitambua haki.
Jibu swali, ulitaka vurugu zidhibitiwe vipi
 
Umshauri nani wakati wote ni wahanga tu wewe kuiogopa au kuiheshimu serikali haikufanyi kuwa salama tofauti na wengine, tazima mauwaji ya polisi waliyoyafanya hawakuangalia nani anahusika na vurugu wala nani anaheshimu serikali.
hatuongei mara 2, ukililia wembe utapewa
 
hatuongei mara 2, ukililia wembe utapewa
Polisi hawajui nani kalilia wembe na nani hajalilia ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa wamekaa na familia zao nyumbani hawakuhusika kabisa na vurugu, hakuna aliyesalama kabisa usijidanganye mkuu.
 
Polisi hawajui nani kalilia wembe na nani hajalilia ndio maana wameuwa hadi waliyokuwa wamekaa na familia zao nyumbani hawakuhusika kabisa na vurugu, hakuna aliyesalama kabisa usijidanganye mkuu.
izi excuse za eti watu walikua ndan tushazichoka, wewe mbna hawajakuua
 
izi excuse za eti watu walikua ndan tushazichoka, wewe mbna hawajakuua
Kawaulize hao wauwaji wenyewe kwa nini wameniacha mimi ila wakaenda kumuuwa Sheikh Sharifu majini au utasema sharifu majini naye alikuwa anaandamana ndio maana akauliwa?
 
Kawaulize hao wauwaji wenyewe kwa nini wameniacha mimi ila wakaenda kumuuwa Sheikh Sharifu majini au utasema sharifu majini naye alikuwa anaandamana ndio maana akauliwa?
basi chukua sumu apo piga walikusahau na ulikua unataka kukata moto
 
Watu wameuawa, biashara, makazi, miundombinu imechomwa, maisha yametatizwa, nchi imechafuliwa
Yote haya yanatokana na wanasiasa na wanaharakati wao kuchochea vurugu mitandaoni na kauli zao za kuhamasisha kwenye majukwaa ya kisiasa.

Wanasiasa na wanaharakati wote washughulikiwe mara moja Ili kuepusha hili kujirudia
 

Attachments

  • 6ca194063178c0ee498d20b8e26dedee.mp4
    366.4 KB
Kwenye hii miaka mitano Mama asiwachekee hawa wahuni. Iwe bendera chuma mlingoti chuma.. alikosea sana kuanza utawala wake kwa kuwabembeleza kupita 4R zake. Magufuli aliwajua hawa wachumia tumbo ndo maana aliwapelekea moto.
Mama mwenyewe kura kaiba, eti kura ml 32 na alivyo mjinga anapongeza tume
 
december kafanye fujo utaishi milele
Mbona wapo wengi tu waliyofanya fujo na wengine wakakamatwa tu hawakufa na wengine wapo mtaani kama kawaida. Ila kuna wasiofanya fujo na bado polisi wakawapeleka kwenda kuishi nyumba ya milele, kwahiyo mkuu hiyo december nakushauri usikatize mbele ya polisi.
 
Maandamano kwenu ni kufanya uhalifu halafu mnakuja kujiliza kipumbavu. Unapoenda kupambana na askari mwenye bunduki unategemea nini?
Hakuna mtu aliyepambana na askari,sisi tunapamba na mafisadi, watekajiNk.Askari ndo walikuwa wanapambana na sisi.samia kalaaniwa kwa kumwaga damu za watanganyika na atakipa kwa damu yake kwani damu hulipwa kwa damu.
 
Mbona wapo wengi tu waliyofanya fujo na wengine wakakamatwa tu hawakufa na wengine wapo mtaani kama kawaida. Ila kuna wasiofanya fujo na bado polisi wakawapeleka kwenda kuishi nyumba ya milele, kwahiyo mkuu hiyo december nakushauri usikatize mbele ya polisi.
mm napokaa hakuna alieuliwa kwa kutoka nje, wananchi walikua wanaendelea na mishe zao na hakuna alieuliwa
 
mm napokaa hakuna alieuliwa kwa kutoka nje, wananchi walikua wanaendelea na mishe zao na hakuna alieuliwa
Acha uongo wewe labda upo nje ya Tanzania, nani alikuwa anaendelea na mishe zake wakati nchi ilichafuka?
 
Acha uongo wewe labda upo nje ya Tanzania, nani alikuwa anaendelea na mishe zake wakati nchi ilichafuka?
sehem nyingi tu shuhuli zilikua zinaendelea kawaida, limitation ilikua main road tu, alafu waliokua wanasumbua hawakua wengi ivo unavodhan ilikua ni vikundi vidogo vidogo
 
sehem nyingi tu shuhuli zilikua zinaendelea kawaida, limitation ilikua main road tu, alafu waliokua wanasumbua hawakua wengi ivo unavodhan ilikua ni vikundi vidogo vidogo
Sasa hapo huwezi kusema watu waliendelea na shughuli zao kama kawaida kama ilikuwa huwezi kuingia main road, sema shukuru huko unapokaa ungekuwa mjini mjini ndio ungeelewa hali ilivyokuwa.
 
Back
Top Bottom