Hammaz
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 7,035
- 15,332
Sheikh gallow birdDola ilijua, ndiyo maana palikua na movement ya vyombo vya usalama,na wali-note raia nchi jirani wakiingia, ndiyo maana JF ilifungiwa, viongozi chadema walitiwa korokoroni,they knew,wakaandaa na strategy ya kukabili,mama akajiandikisha Dodoma
Usiwe mtu wa kugeuza maneno kutoka katika muktadha wake au kuharibu hukumu ya haki.
Unapindisha uhalisia ndugu yangu? Hivi tumefikia hatua hii ya kutomuogopa Allah?